Mtaa wa pili utawasikia oo sijui nini, tumefunga mbabane, alikwendq akarudi ooo unajua...........Kuna watu roho itawauma hapaView attachment 951134
Sana tu, Bakuli fc na wenye nazo ngoma draw, tulia sindano ikuingie vizuri.Bakuli fc
Sana tu, Bakuli fc na wenye nazo ngoma draw, tulia sindano ikuingie vizuri.
Ngoja mkawashangae mabinti wa Mswati halafu muone cha moto.tupo CAF tunatembeza bakora tu.
Zamu ya huyuLeo tena zamu ya nani?
Hata mimi nilikuwa na wazo hilo hilo, apewe Taifa stars, kwani anajua mipango mizuri.Yanga ni habari ya mjini. Kocha wetu apewe kuinoa taifa stars, Amunike tupa huko
YANGA 2-1BIASHARA, ni dk 94 zimeongezwa dk 9.Zamu ya nani leo?