Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nikwamba hata FIFA inajua mpaka sasa DUNIANI timu ambazo bado hazijapoteza mchecho ni 3TU
1)Liverpool
2)young Africans
3)Azam
Yani hii inajulikana duniani kote
Yanga piga keleleeeeeeeee[emoji123][emoji123]
hivi goli la Makambo lina tatizo gani jamani
Wakikujibu nistue na mimi mkuuhivi goli la Makambo lina tatizo gani jamani
Yani nikwamba hata FIFA inajua mpaka sasa DUNIANI timu ambazo bado hazijapoteza mchecho ni 3TU
1)Liverpool
2)young Africans
3)Azam
Yani hii inajulikana duniani kote
Yanga piga keleleeeeeeeee[emoji123][emoji123]
Unamaanisha mchezo gani?
Juve umewafunga wewe?
Oyoooooooooooooo!Yani nikwamba hata FIFA inajua mpaka sasa DUNIANI timu ambazo bado hazijapoteza mchecho ni 3TU
1)Liverpool
2)young Africans
3)Azam
Yani hii inajulikana duniani kote
Yanga piga keleleeeeeeeee[emoji123][emoji123]
YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team" Leo ilipata ushindi Wa 3-1 ila muamuzi alikuwa na mapenzi binafsihivi goli la Makambo lina tatizo gani jamani
Ongelea EPL boya weweToa liverpool hapo. Ameshaonja machungu ya kufungwa. Liverpool kafungwa na Napoli
Ongelea EPL boya wewe
Piga keleleeeee................Yani nikwamba hata FIFA inajua mpaka sasa DUNIANI timu ambazo bado hazijapoteza mchecho ni 3TU
1)Liverpool
2)young Africans
3)Azam
Yani hii inajulikana duniani kote
Yanga piga keleleeeeeeeee[emoji123][emoji123]
Yaani Yanga anaandamwa na marefa balaa.....sijui maagizo????Refa kazingua
Itakuwa ni maagizo toka kwa Karia na Mo DewjiYaani Yanga anaandamwa na marefa balaa.....sijui maagizo????