Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Ulikuwa unafurahia Simba akicheza na timu nyengine hatimae zam yakoPole sana Mtani.
Najua hapo unajua mshashida mechi hivyo unataka kunirusha roho. [emoji23][emoji23][emoji23]
KAZI IPO NA SI NDOGO.
Hahahaaa. Haina mbaya.Ulikuwa unafurahia Simba akicheza na timu nyengine hatimae zam yako
Sent using Jamii Forums mobile app
sana
Halafu we mwanamke nakuchoraga tu na timu yako hiyo ya ovyo huwaga siinglii comments zako ila Leo nimekureply makusudi tu.Pole mtani ball matokeo matatu.Hahahaaa. Haina mbaya.
Nipo hapa.
[emoji23] duh!kumbe ushawahi kuhama [emoji23]Hahahaaaa. Huwezi Ama sababu ushabiki kitu ingine. Mi niliwahi kujaribu nikashindwa.
Labda uwe mshabiki wa wasiwasi.
Khaaaa. π³π³π³π³π³Halafu we mwanamke nakuchoraga tu na timu yako hiyo ya ovyo huwaga siinglii comments zako ila Leo nimekureply makusudi tu.Pole mtani ball matokeo matatu.
πππ Yah. Nilishawishiwa na Mtu mmoja hivi nikashindwa aiseee.[emoji23] duh!kumbe ushawahi kuhama [emoji23]
[emoji23][emoji23] safi sana kwa kushindwa huo ushawishi wa kuhamia mikia[emoji23][emoji23][emoji23] Yah. Nilishawishiwa na Mtu mmoja hivi nikashindwa aiseee.
ππππ eti Mazoezi. Mmmh.
Kama hutak sikushikii fimbo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Mazoezi. Mmmh.
ππππππ Yah. Nilishawishiwa na Mtu mmoja hivi nikashindwa aiseee.
πππ umenifanya nicheke kwa sauti.
Mechi ya jana haikunipa mzuka sana[emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya nicheke kwa sauti.
Halafu mbona Ka umepoa? Unaumwa? [emoji12]
Nilijua tu na hauko peke yako ni wengi hawajapata mzuka akiwemo King Ngwaba . π π π