Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mtani najua habari zetu unazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani najua habari zetu unazo.
Yah. Tutafika tu MkuuAt least mdogo mdogo tutafika tu
huyo al ahly alipigwa 1-0 hapa bongo, kabla ya kwenda kututoa kwa matuta kule kwao (huko nyau fc alikula hamsa 5-0)Kwani yanga amewahi kumfunga mwarabu?
Hahahaaa. Kiaje tena?
Uuwiii. Hii mpya.
Ushakata tamaa na timu yako ila unajitutumua uonekane upoUuwiii. Hii mpya.
Hamna kitu Ka hicho. Nyie ndio mnaona hivyo.
Endelea kujitutumuaHamna kitu Ka hicho. Nyie ndio mnaona hivyo.
Cha ajabu huyo aliyekata tamaa anawahenyesha na kukosa usingizi kila uchwao.
Mpaka tone la mwisho no kuchoka hii Mtani. Mwisho wa siku mnakosa Bara na Pwani na nyie mnakuwa watazamaji tu.
Kujifariji ruksaaaMpaka tone la mwisho no kuchoka hii Mtani. Mwisho wa siku mnakosa Bara na Pwani na nyie mnakuwa watazamaji tu.
oyeeeeeeeeeeeeee.................Yanga oyeeeeee, jamani tuwe tunatoa na michango yetu kwa timu yetu ya wananchi.
Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
kweli shemela........Mpaka tone la mwisho no kuchoka hii Mtani. Mwisho wa siku mnakosa Bara na Pwani na nyie mnakuwa watazamaji tu.
Vp Shemela upo?kweli shemela........
Ooyeeeeeeeeeeeoyeeeeeeeeeeeeee.................