Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mshapoteza bahatiUfundishaji wetu wapi Mtani. Amedharau tu yule akijua anafunga
Kafanya tu mistake kwa kumdharau kipa ila anajua mbona.Pole mtani hamna mtu apo:
Ila bado tuna nafasi Mtani sababu muda upo.
Tuwa azime adm salamba kwa mudaKafanya tu mistake kwa kumdharau kipa ila anajua mbona.
Yaani tangia kashika mpira mie nilijua anapaisha tu sababu huwa anajiamini kupitiliza kumbe atampigia kipa mikononi.Makambo anapiga penati utadhani hajala chakula cha mchana! Dk ya 8 kwa hawa wanafunzi wa sekondari wangetoka kabisa mchezoni! Sasa hakuna namna inabidi tu kuendelea kupambana. Wakati mwingine apewe Yondani. Huyu hana mambo ya kijinga jinga anapokua kazini.
Ata hatukataki bakini nako tu.Tuwa azime adm salamba kwa muda
Dk 90 zikiisha mtani usisahau niita tafadhariAta hatukataki bakini nako tu.
Habar yako ...Engineer anasoma ngapi ngapi saizi!!Ata hatukataki bakini nako tu.
Yaani tangia kashika mpira mie nilijua anapaisha tu sababu huwa anajiamini kupitiliza kumbe atampigia kipa mikononi.
Hahahaaaaa. Usijali Mtani.Dk 90 zikiisha mtani usisahau niita tafadhari
kamwene alliance
Aiseeee bila bila engineer.
Ya 30 MtaniMtani ni dakika ya ngapi?
Ya 30 Mtani
0 - 0
Eti eeee? SAFI SANA MTANISawa Mtani, chochote kitakachotokea kwenye hiyo mechi ni kheri kwangu.
Nahisi matokeo yakibaki hivi hivi, itapendeza!!Aiseeee bila bila engineer.
Eti eeee? SAFI SANA MTANI