HakikaYote kheri...
""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Nimekupa like.
SawaChura kafa kimoja.
Nilikuquote sehemu ukanchunia. Naona Ntibwa kakuibua. Teh
Bado nko likizo mtaniNilikuquote sehemu ukanchunia. Naona Ntibwa kakuibua. Teh
Ooh. Hongera zako Mtani.Bado nko likizo mtani
Bdo akili haijatuliaOoh. Hongera zako Mtani.
Huwa nakuchora tu kwa mbaliiiiOoh. Hongera zako Mtani.
π π πBdo akili haijatulia
We ni chore tu.Huwa nakuchora tu kwa mbaliiii
Na jana Serengeti boys ndo wameharibu ushindi wa Simba[emoji28][emoji28][emoji28]
Ligi Ya sasa haina msisimkoWe ni chore tu.
Naona jana mkaokota embe chini ya Mnazi. [emoji41][emoji41]
Acha tu. Mi mwenyewe nilijua wangenipa furaha. Mwishowe nkapata machungu zaidi. ππNa jana Serengeti boys ndo wameharibu ushindi wa Simba
Ndo maan sina mzuka wa kuwataniaAcha tu. Mi mwenyewe nilijua wangenipa furaha. Mwishowe nkapata machungu zaidi. ππ
Kabisaaa. Yaani unakaa ukijua kabisa Bingwa ni fulani.Ligi Ya sasa haina msisimko
Kwan Uingereza huwa wanapanga vp ratiba zaoKabisaaa. Yaani unakaa ukijua kabisa Bingwa ni fulani.
Ila TFF yawabidi kuwa ni wenye kubadilika sababu hiki wanachokifanya sio kabisa.