Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ni Ukweli Ses matumaini ya Ubingwa si makubwa kama ilivyokuwa pale mwanzo.
Sasa na uchaguzi wa viongozi wenu si ndio utaivuruga zaidi club au wadhani ndio muarobaini wa matatizo yenu? Maana hatutaki msimu ujao tutakapokua tunawanyoosha mje na visingizio vya migogoro
 
Sasa na uchaguzi wa viongozi wenu si ndio utaivuruga zaidi club au wadhani ndio muarobaini wa matatizo yenu? Maana hatutaki msimu ujao tutakapokua tunawanyoosha mje na visingizio vya migogoro
Sina hakika japo naona uchaguzi huenda ikawa suluhisho la tunayoyapitia kwa sasa.
 
20190502_105541.jpg
l
 
Back
Top Bottom