Ukifika pale Lusaka, kuna duka kubwa limeandikwa TIMU MBADALA BAADA YA UD SONGO KUFANYA YAOHivi jezi za ZESCO zinauzwa wapi ninashida nazo sana.
Mtavaa sanaHivi jezi za ZESCO zinauzwa wapi ninashida nazo sana.
Naunga mkono hojaZESCO nyie njooni na jezi za kutosha tu mashabiki mtatukuta hukuhuku.
Zifuate Zambia Mtani.Hivi jezi za ZESCO zinauzwa wapi ninashida nazo sana.
Ndio kilichobakia hiki Mtani. Nothing else. πππZESCO nyie njooni na jezi za kutosha tu mashabiki mtatukuta hukuhuku.
Hakika Mkuu!!! Mana tukitolewa na Zesco tunakwenda Shirikisho. Hivyo wajiandae kujaza makabati. ππMtavaa sana
Hapa ile kauli ya "What goes around comes back around" ndio inatumika sasa. π π πTunawaahidi kufunga kila timu itakayoingia anga zetu. Hivyo mtavaa sana majezi ya timu za nje
HahahahaHapa ile kauli ya "What goes around comes back around" ndio inatumika sasa. [emoji28][emoji28][emoji28]
Zamu yetu Timu ya Wananchi sasa. [emoji3]
Mtani ama kweli "Simba akikosa nyama anakula hadi nyasi" πππNaunga mkono hoja
Yah! Kutesa kwa zamu Mtani. ππHahahaha
Hivi zile jezi mlizonunua hamkujaza kabati?Mtani ama kweli "Simba akikosa nyama anakula hadi nyasi" πππ
Ndio maana nikasema zamu yenu sasa hivyo zile kauli mlizokuwa mnatupa kipindi tunanunua tunazirudhisha kama zilivyo Mtani. ππHivi zile jezi mlizonunua hamkujaza kabati?
KUELEKEA MBIO ZA KUWANIA UBINGWA WA TPL MSIMU WA 2019 / 2020 TIMU YA WANANCHI INAFUNGUA DIMBA KWA KUJITUPA UWANJA WA BIBI KUKIPIGA NA RUVU SHOOTING HAPO 16:00HRS. KILA LA KHERI TIMU YA WANANCHI.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
πππ Natumai tutaanza vyema Mkuu.Kila la heri timu ya wananchi!
Hahahaha, kwa kweli kutesa kwa zamuYah! Kutesa kwa zamu Mtani. [emoji3][emoji3]