Hivyo Past haiwi past mpaka kuwe na mpya. Lol.Hiyo ni present mkuu. Hakuna mpya iliyotoka kuifanya hiyo iwe past
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa nilifurahi pia jinsi nchimbi alivyoonyesha ukomavu kwa Yale mapambano. Mana Mikia ikabidi iwe inamkaba miwilimiwiliHahahahaaaa. Yaani ilikuwa balaa Mkuu. Ila huu usajili mdogo umetusaidia mno.
Injini zinapozwa
Ilikuwa hatari tupu hapo kati,tena kipindi cha pili hao vijana ni kama walitiwa ndimu na pilipili kwelikweli,mana vikina mkude miguu ilitepeta kama gari za udongo
Kipenseli yule si mtu mzuri yaani nusu avunje mbavu za Manula.
Kwani mpya unayoijua wewe ni ipi mkuu. Basi hiyo 16 bora tuiite ni currentHivyo Past haiwi past mpaka kuwe na mpya. Lol.
Hamna kitu kama hicho wacha kujifariji.
Labda refa wa mabua, ile ni free kick na yellow card usilazimishe uongo.Mkiangalia vizur hiyo VAR yenu mlichora humu ndani mtajua kwamba kosa la Yondani ilikuwa ni red kadi moja kwa moja isiyo na ubishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kuna nafasi moja alipata kipindi cha kwanza na alikuwa ameshatoka kwenda kufunga ila mwamuzi akasema ni offside wakati haikuwa kweli pale.Sanaaa nilifurahi pia jinsi nchimbi alivyoonyesha ukomavu kwa Yale mapambano. Mana Mikia ikabidi iwe inamkaba miwilimiwili
Kabisa kabisa Mkuu.Injini zinapozwa
😅😅😅 rilaksi Mkuu.Kwani mpya unayoijua wewe ni ipi mkuu. Basi hiyo 16 bora tuiite ni current
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani yeye ndio kaangushiwa zigo la misumari.
Yua welikamu.
Yua welikamu.
Ahsante. Bahati tu ndio ilifanya tusichukue points tatu Mtani.Mtani hongereni
Mi nilikuwepo Uwanjani jana mbona tulikuwa wengi wa kutosha. Tumejitahidi jana.Hv kwanini sis yanga hatujitokezi kea wingi uwanjani
Sent from my TECNO LC6 using Tapatalk
Ahsante. Bahati tu ndio ilifanya tusichukue points tatu Mtani.
Kabisa mpira una maajabu yake Mtani. 5imba tatizo kujiamini kulikuwa kwingi.Yaani mtani mpaka sasa siamini mmepata vipi droo. Nimeamini, mpira una maajabu yake.