Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Walikuja kina Papaa Zahera Mwinyi na mbwembwe kama hizi haikusaidia kitu
Tumetolewa kwa amikwaju ya pemalties Mtani.Matokeo please[emoji16]
Hahahahaaa!! Yamekuwa hayo Mtani?Yanga tumewashtukia, mnajikosesha penalty ili kuikwepa Simba
Hahahaaa. Na wewe Mtani umeona hii ndio njia ya kujifariji. Teh teh teh.Hakuna timu mule wamshukuru yule bwege Manula tu siku ile.
Mtahangaika sana mwaka huu mwisho wa siku tulishawaonyesha sisi ni nani Mtani. ππHivi kombe la Sportpesa linaanza lini tuone kama na huku mtatukimbia tena Shadeeya
Kila kikombe kitakacho katiza mbele yetu Simba tutahakikisha tunachukua na kuanza tunaanza na hili la Mapinduzi then Fa ,Ligi kuu,Sportpesa na Cecafa yatafata.Nyie ndio mlikuwa mnajidanganya eti tukifungwa na Mtibwa nyie mnamuachia Azam tukawa tunacheka tu. Hihihihihiiiiiiiii
Nipo nasubiria Mtani. Sababu nyie wenzetu Mashallah mumejaliwa kuucheza sana mpira mitandaoni.Kila kikombe kitakacho katiza mbele yetu Simba tutahakikisha tunachukua na kuanza tunaanza na hili la Mapinduzi then Fa ,Ligi kuu,Sportpesa na Cecafa yatafata.
Hahahaa. Hapa kwa herufi kibwa sioni kombe ambalo utaeza chukua hapo.Kila kikombe kitakacho katiza mbele yetu Simba tutahakikisha tunachukua na kuanza tunaanza na hili la Mapinduzi then Fa ,Ligi kuu,Sportpesa na Cecafa yatafata.
Hahahahaaa!! Yamekuwa hayo Mtani?
Kwani mshapita? ππ
πππ Wa kukimbiwa ndio nyie Mtani.ππMmetukimbia.
πππ Wa kukimbiwa ndio nyie Mtani.ππ
Hebu mfunge Azam kwanza.
Yah. Haya ndio maneno Mtani sababu si ajabu hata na nyie jioni mkapoteza sa sijui mtazificha wapi sura zenu baada ya kudai tumewakimbia.Tutakutana mechi ya raundi ya pili. Hamtatukimbia.
Yah. Haya ndio maneno Mtani sababu si ajabu hata na nyie jioni mkapoteza sa sijui mtazificha wapi sura zenu baada ya kudai tumewakimbia.