Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya leo kali Mtani. Daah.Uwiii nini tatizo hahahahahahahaha
Ahsante ndio mpira bana. Japo mmetujalia leo lol.
😳😳😳😳 nini sasa hiki Mtani.Bwahagahahahahahahahahahahgahahahahahagahahahahaha
Bweheeebweheeehehehehehehhehehe
Ila mtashinda tu Mtani Kagera watoto wadogo tu kwenu.
Tumeamua kujipoza machungu ya mapinduzi asee[emoji3]Ahsante ndio mpira bana. Japo mmetujalia leo lol.
Simba hhuyo alikuwa ananichora tu hapo.Haya maneno ulikua unamaanisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Dalali. 😎😎
Umeandika kinyonge sanaFULL TIME WAO 3 SISI 0
FULL TIME WAO 3 SISI 0
Nimefungwa naandikaje kwa kuchangamka Mkuu.Umeandika kinyonge sana
Kikawaida hiyo haizuiliki hata kidogo Mtani. Ndio sababu hata na nyie leo muna raha huko mliko ile hali hamuijui kesho yenu.Pole Mtani... Muache kuwaza matatizo ya Jirani kumbe kwako yapo Chungu nzima....[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigwe tu. Ila kule kwetu nako muda wowote zumari inaweza ingia tandu, isilie tena, wabaki kusaga meno. Maana bosi kama vile amechoshwa na vipigo visivyo na sababu. Wachezaji wamelegea kama vile wanakula nyasi. Fedha yote wanayolipwa. Hata mimi ningechoka.Nimefungwa naandikaje kwa kuchangamka Mkuu.
Ila ndio mpira. Naganga ya Azam sasa.