Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Nimekubali Shadeeya wewe kweli soka unalijua na tabia za mashabiki piaunazijua. Miaka hiyo Juma Pondamali alitolewa uwanjani kwa escort ya polisi akiwa kipa wa Yanga baada ya kumletea mbwembwe marehemu Victor Sefwa Mkanwa African Sports, tena dakika za mwisho na jamaa akafunga goli la kusawazishaKabisa Mtani hata na mie naungana nawe kwani kwa sasa tunafurahia ila siku akifanya mbwembwe zake ambazo zitatugharimu ni lazima tumshushe thamani na kumzodoa juu.
Nakubaliana nawewe kakaWe mpira unajua ,na uhakika kocha hata Jana hakuipenda hy
Ila jamaa MTU , hata yule Mzambia Erik nae mkali sana ujue this time Mtani uko vzr
MTC | 101| [emoji769]
Yah! Nadhani atamwambia ili asijelewa sifa zetu mashabiki mwishowe akaharibu.We mpira unajua ,na uhakika kocha hata Jana hakuipenda hy
Ila jamaa MTU , hata yule Mzambia Erik nae mkali sana ujue this time Mtani uko vzr
MTC | 101| [emoji769]
View attachment 1336461
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HATARI
Hakika Ses Mbwembwe ni nzuri ila zikizidi kiasi zinagharimu.Nimekubali Shadeeya wewe kweli soka unalijua na tabia za mashabiki piaunazijua. Miaka hiyo Juma Pondamali alitolewa uwanjani kwa escort ya polisi akiwa kipa wa Yanga baada ya kumletea mbwembwe marehemu Victor Sefwa Mkanwa African Sports, tena dakika za mwisho na jamaa akafunga goli la kusawazisha
Ni balaa Swahiba. 😀
Ila kwa kocha makini atamkanya apunguze madoido
MTC | 101| [emoji769]
😂😂Hapa wengine watapita kama wanaaga maiti
Unajua miaka ya nyuma wachezaji wa bongo walikua wanajua hasa kuuchezea mpira. Wakati ule watu walikwenda uwanjani kuangalia manjonjo ya kina Hamis Thobias Gaga "Gagrino" au Celestine "Sikinde" Mbunga na kabda ya hapo kina Juma Pondamali "Mensah" na wengineo wengiHakika Ses Mbwembwe ni nzuri ila zikizidi kiasi zinagharimu.
Daah Acha niweke akiba ya maneno.
[emoji3][emoji3][emoji3] jamani Mtani. Lol.
Acha kucheka wewe kamwambie Kabwili alete ushahidi wa tuhuma dhidi ya mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.😉
Halafu Mtani ndo nini sasa? 🙄🙄🙄Acha kucheka wewe kamwambie Kabwili alete ushahidi wa tuhuma dhidi ya mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.😉
Simba nguvu moja
Nimecheka sana Mtani kuna sehemu Wana Simba wenzio wanamwaga matusi utadhania imethibitika Kabwili kaongopa. Tuacheni muda ndio utazungumza na kutenganisha pumba na mchele.Acha kucheka wewe kamwambie Kabwili alete ushahidi wa tuhuma dhidi ya mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.😉
Simba nguvu moja
Ntakutag vipi Shadeeya mie? 🤔🤔🤔🤔Acha kucheka wewe kamwambie Kabwili alete ushahidi wa tuhuma dhidi ya mabingwa wa nchi Mnyama mkali Simba sc.😉
Simba nguvu moja
Nimecheka sana Mtani kuna sehemu Wana Simba wenzio wanamwaga matusi utadhania imethibitika Kabwili kaongopa. Tuacheni muda ndio utazungumza na kutenganisha pumba na mchele.
#Ilaaibusana
Ndio nini sasa nini?Halafu Mtani ndo nini sasa? 🙄🙄🙄