Atawakimbiaje kwa mfano ..yeye kwake ni faida anatangaza Kampuni yake at zero Cost! Unachezea hii ngozi nyeupe iliyotokea Mashariki ya Kati wewe!Sare 4.
na milioni 40 zimepotea[emoji2][emoji2][emoji2].
Muda si mrefu GSM atawakimbiaView attachment 1367882
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unakiri mnachekwa kila siku si uamie Simba mnyama mkaliMkuu kyata
Nakubaliana na wewe tena kama huyo Nugaz tusipopata matokeo huwa neno lake kubwa eti tunatengeneza brand mmxieeew brand gani hiyo wakati sisi mashabiki tunahitaji matokeo.
Itakuwa wanaona raha tunavyochekwa kila kona.
Kuhusu huyo Yikpe lile ni jipu na hata Nchimbi mwenyewe namuona kichefu chefu tu naye.
Atawakimbiaje kwa mfano ..yeye kwake ni faida anatangaza Kampuni yake at zero Cost! Unachezea hii ngozi nyeupe iliyotokea Mashariki ya Kati wewe!
Naona unatishia kujamba!!!Tuwache na ubardi wetu 😉 na tarehe nane tutaona nani mkali.
Duuh!! Sijawahi kuwaza hicho unachosema kwa kweli.Kama unakiri mnachekwa kila siku si uamie Simba mnyama mkali
Shadeeya unakwama wapi?
"wape salaamaaam" Nugaz voice
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheka tu Mtani. 😅Ichi kibwagizo chako huwa kinanichekesha mtani[emoji16]
🤔🤔🤔TAKUKURU chunguzeni nani aliwahaidi 14m Coastal Union..walivyozikosa points uwanjani wakawaambia wakate rufaa jina la Eric hawalioni kwenye instagram list..:Wanayanga mlioko kwenye vitengo fanyieni kazi hii issue.......mikia wanatumia hii njia kwa miaka mitatu sasa...siku ikithibitika mikia mnashushwa daraja tuko kazini bado✌
Mbona sijasikia Azam wakilalamika bali ninyi tu mna tatizo gani? Azam alivyofungwa nje ndani Simba aliiahidi pesa kiasi gani hao Coast union? Yanga alipofungwa na Azam Simba waliiahidi kiasi gani kuwapa hao Azam? Kubalini kuwa ninyi ni wabovu msikimbilie kusema kuwa watu wanawahonga wapinzani wenu ili mfungweTAKUKURU chunguzeni nani aliwahaidi 14m Coastal Union..walivyozikosa points uwanjani wakawaambia wakate rufaa jina la Eric hawalioni kwenye instagram list..:Wanayanga mlioko kwenye vitengo fanyieni kazi hii issue.......mikia wanatumia hii njia kwa miaka mitatu sasa...siku ikithibitika mikia mnashushwa daraja tuko kazini bado[emoji3577]
TAKUKURU chunguzeni nani aliwahaidi 14m Coastal Union..walivyozikosa points uwanjani wakawaambia wakate rufaa jina la Eric hawalioni kwenye instagram list..:Wanayanga mlioko kwenye vitengo fanyieni kazi hii issue.......mikia wanatumia hii njia kwa miaka mitatu sasa...siku ikithibitika mikia mnashushwa daraja tuko kazini bado[emoji111]️
Cheka tu Mtani. [emoji28]
Huku kujimwambafay kwenu tumeshawazowea mbona Mtani.Lazima nicheke mtani kwa kuwa sa ivi Simba hana mpinzani [emoji1241]
Huku kujimwambafay kwenu tumeshawazowea mbona Mtani.
Ngapi ngapi kwani kule eti?Umetype kinyonge sana[emoji16]sorry
Kalale kwa Buriani huko matopeni.
Naona watu wanajitekenya na kujicheka. Mapenzi na mhemko ni tofauti.