Hahahaaa!! Punga tu upepo Mtani. No way out.Nipo napunga upepo hapa kwenye kisredi chenu🐸🐸🐸🐸🐸
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
Hauezi sikia hii kauli tena.Wanatamani waseme Yanga ni mbovu ila kila wakikumbuka jinsi tulivyosawazisha kwenye ile mechi ya kwanza na kipigo toka kwa mwamba Morrison Bernard inabidi wanyamaze kama wamehost msiba.
Ile kamati yao iliangalie na hili sasa japo saa nyingine usishangae ikawa ndio imetoka.Kisheria anatakiwa afungiwe kuanzia mechi tatu na kuendelea.
Hahahaaa!! Na kibaya zaidi hakuwa na namna ya kuwafanya waamuzi kupindisha sheria mana Rais wa CAF alikuwepo.Japo naamini Rais Wa TFF alihuzunika sana. Na sijui kama hata chakula alikula hiyo jana
MCHEZO DHIDI YA KMC FC .
Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba juzi, siku ya Alhamisi, March 12 kikosi cha Yanga kitashuka uwanja wa Taifa kumenyana na KMC katika mchezo ambao KMC watakuwa wenyeji.
Mchezo huo utapigwa kuanzia saa kumi jioni badala ya saa moja iliyopangwa awali kwa kile kinachoelezwa marekebisho ya hitilafu ya umeme uwanja wa Taifa.
Baada ya mchezo huo Yanga itaelekea mkoani Lindi kuifuata Namungo Fc tayari kwa mchezo ambao utapigwa March 15 katika uwanja wa Majaliwa wilayani Ruangwa.
nyie wachawi sanaHahahaaa. Hebu ngoja nicheke kwanza. [emoji3][emoji3][emoji3]
Safari ingine na nyie muutafute ulipo sasa huo uchawi. 😀
sasa Simba imefikaje fikaje hapaMCHEZO DHIDI YA KMC FC .
Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba juzi, siku ya Alhamisi, March 12 kikosi cha Yanga kitashuka uwanja wa Taifa kumenyana na KMC katika mchezo ambao KMC watakuwa wenyeji.
Mchezo huo utapigwa kuanzia saa kumi jioni badala ya saa moja iliyopangwa awali kwa kile kinachoelezwa marekebisho ya hitilafu ya umeme uwanja wa Taifa.
Baada ya mchezo huo Yanga itaelekea mkoani Lindi kuifuata Namungo Fc tayari kwa mchezo ambao utapigwa March 15 katika uwanja wa Majaliwa wilayani Ruangwa.
Daaah yaani nilipokuwa huko nilikuwa naumia roho sana,vibe la taifa acha kabisaPole Ndugu. Ulipitwa. 😀😀
Mana ilikuwa shangwe mwanzo mwisho.
Saizi wana adabu sanaTumewakomesha. 😀😀
Timu mbovu nazo hushinda.Hauezi sikia hii kauli tena.
Nafikiri weye ndio huyu Dada ehhTimu mbovu nazo hushinda.
Simba nguvu moja
[emoji2] [emoji2]Hahahaaa!! Na kibaya zaidi hakuwa na namna ya kuwafanya waamuzi kupindisha sheria mana Rais wa CAF alikuwepo.
Amezage panadol tu apunguze maumivu.
Asante kwa update!MCHEZO DHIDI YA KMC FC .
Baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba juzi, siku ya Alhamisi, March 12 kikosi cha Yanga kitashuka uwanja wa Taifa kumenyana na KMC katika mchezo ambao KMC watakuwa wenyeji.
Mchezo huo utapigwa kuanzia saa kumi jioni badala ya saa moja iliyopangwa awali kwa kile kinachoelezwa marekebisho ya hitilafu ya umeme uwanja wa Taifa.
Baada ya mchezo huo Yanga itaelekea mkoani Lindi kuifuata Namungo Fc tayari kwa mchezo ambao utapigwa March 15 katika uwanja wa Majaliwa wilayani Ruangwa.
Kama mikia wanaona tunafaidi na benard morrison wakamsajili benard membe kwani yuko huru kwa sasaKWANI MUNATESEKA. Teh teh