Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Aiseee nimekuwa Dada tena Mkuu?Nafikiri weye ndio huyu Dada ehh
Kwa vile aliipania Simba?!Ila mvumilivu sana yule jamaa.
Shadeeya ukishasikia "viatu maalum kwa kazi maalum" ujue ndie aliyekabidhiwa mikoba ya ndumba, na kweli ilifanya kazi
SIRI YA KIATU CHA MORRISON
Kwenye Mechi ya Watani wa Jadi Mshambuliaji Benard Morrison alicheza kwa dakika takribani 56 tu katika mchezo dhidi ya Simba ambao aliifungia Yanga bao muhimu lililowafanya watoke kifua mbele ka ushindi wa bao 1-0
Kocha Mkuu wa Yanga Luc Eymael baada ya mchezo alibainisha kuwa Morrison aliumia mazoezini siku mbili kabla ya mchezo na ndio maana alimtoa mapema tu kwenye kipindi cha pili kwani hakuwa fiti
Lakini siri moja kubwa ni kuwa mapema wiki iliyopita Morrison alitembelewa nchini na mkewe akiwa pamoja na mtoto wake.
Walimletea zawadi ya viatu ambavyo alivitumia kwenye mchezo wa jana.
Bao lake alilofunga kwenye mchezo huo tena akiwa na viatu hivyo alivyozawadiwa na 'wife', lilipeleka furaha sio tu kwa Wanayanga bali hata kwa familia yake.
Morrison amebainisha kuwa viatu hivyo atavitumia katika mechi maalum tu "Vilikuwa viatu Maalum kwa kazi maalum Namshukuru Mungu nimeimaliza kazi salama".
Nimecheka. Lol.Kama mikia wanaona tunafaidi na benard morrison wakamsajili benard membe kwani yuko huru kwa sasa
KWANI UNATESEKA? 😂Hiki kikundi cha kichawi umu mpo?
Kwanza mmebahatisha goli moja then mkapaki bus, tunawataka FA kule mtajua kwanini nyie mnaitwa gongowazi
Punguzeni kuloga loga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa. Wamebakia na kauli eti tumeloga.Saizi wana adabu sana
🤣🤣🤣🤣Timu mbovu nazo hushinda.
Simba nguvu moja
Tuko pamoja Bro. 🙏Asante kwa update!
Kazi wanayoHahahaaaaa. Wamebakia na kauli eti tumeloga.
Nawaza wao wameshindwaje kuloga sasa. 🤔🤔🤔
Tena sio ndogo.Kazi wanayo
Nimeshangaa boss wao hajatweet kuachia ngaziTena sio ndogo.
Ifikie hatua wakubali tu kwamba Yanga ndio BABALAO.
Nasikia baada ya mechi tu wakampokonya simu eti. Teh tehNimeshangaa boss wao hajatweet kuachia ngazi
😂😂😂😂Nasikia baada ya mechi tu wakampokonya simu eti. Teh teh
Ushauri wa bure huo nimewapa,mikia kazi kwaoNimecheka. Lol.
Wakamsajili tu kwa kweli. 😂😂
😂Nasikia baada ya mechi tu wakampokonya simu eti. Teh teh
😂😂Ushauri wa bure huo nimewapa,mikia kazi kwao