Hebu tupumzishe basi.Hii ni kauli ya kukata tamaa kabisa, msifanye hivyo bana Shadeeya, mbona ubingwa wa TPL njenjenje kabisa kwenuππππ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπββοΈ
Mbona mauthibitisho kibao tu Mtani na ndio maana watu wakijitokeza mnakuwa wakali mbaya.ukiambiwa uthibitishe kuwa tunatoa miamala unaweza kuthibitisha?
hata mechi ya singida united tulitoa miamala?
mbona nyie mechi yenu na KMC hamkutoa miamala!
Nawakubali sana Yanga, mabingwa wa historia. Na kale kamsemo kao pendwa kale, daima mbele nyuma nini vileeπ€ͺ?Hebu tupumzishe basi.
Huo mstari wa chini naunga mkono hojaMbona mauthibitisho kibao tu Mtani.
Ila yote kwa yote Simba ili awe bora anahitaji Yanga bora pia.
ni kweli kabisa, maana tukipata challange kama ile ya tar. 8 kila mechi tunayokutana nayo VPL basi tunaweza tukachukua hata ubingwa CafMbona mauthibitisho kibao tu Mtani na ndio maana watu wakijitokeza mnakuwa wakali mbaya.
Ila yote kwa yote Simba ili awe bora anahitaji Yanga bora pia.
Inakaribia kaa sawa na ndio sababu mwaka jana tumetembeza bakuli ila mwaka huu kaja GSM hivyo si ajabu mwakani tukawa sisi sio hawa wa sasa.Mtani mbona mwaka wa tatu huu mnasema tu mtakaa sawa, naisuburi kwa hamu hiyo kaa sawa yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π Haya bana Mtani.ni kweli kabisa, maana tukipata challange kama ile ya tar. 8 kila mechi tunayokutana nayo VPL basi tunaweza tukachukua hata ubingwa Caf
Upo sahihi kwa kiasi kikubwa japo umesahau kusema pia tff iache kuwabebaMbona mauthibitisho kibao tu Mtani na ndio maana watu wakijitokeza mnakuwa wakali mbaya.
Ila yote kwa yote Simba ili awe bora anahitaji Yanga bora pia.
Upo sahihi kwa kiasi kikubwa japo umesahau kusema pia tff iache kuwabebaMbona mauthibitisho kibao tu Mtani na ndio maana watu wakijitokeza mnakuwa wakali mbaya.
Ila yote kwa yote Simba ili awe bora anahitaji Yanga bora pia.
Kweli kabisa usemalo Mkuu.Upo sahihi kwa kiasi kikubwa japo umesahau kusema pia tff iache kuwabeba
Hahahaha, ngoja kuna striker atakuja hapo mtafurahi tuILA KIUKWELI VIONGOZI WAANGALIE NAMNA YA KUBORESHA SAFU YA USHAMBULIAJI MANA PALE MBELE HAMNA KITU SI YIKPE WALA TARIK SEIF.
MOLINGER MWENYEWE NI MPAKA MECHI IMTOKEE HAPO NDIO TUNAFURAHIA UWEPO WAKE ILA SIKU MECHI IKIMKATAA TUNAMUONA MZIGO TU. [emoji17][emoji17]
We naeee!!Ukingia 'google' ukandika neno 'utopolo fc' inatokea Yanga African SC
Sasa ni rasmi wenye mitandao yao wameitambua Yanga ni UtopoloView attachment 1391597
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtani ndio kusema unaijua mbele yetu ama?Hahahaha, ngoja kuna striker atakuja hapo mtafurahi tu
Hahahaha, tutamrudisha huyu ,halafu tunawapa striker mwingine kiwango cha MorisonNimejikuta namkumbuka Makambo tu hapa.
Itakuwa bora zaidi ikiwa hivyo mana hilo ndio hitaji letu kwa sasa.Hahahaha, ngoja kuna striker atakuja hapo mtafurahi tu