Rafiki Wa mpira huyu
Hizi jezi kwa sasa sijui niifananishe na ipi. Sijui za kina Ahly zipoje. Ila ni jezi matata sana hii
Hii sijasikia kabisa aseeHivi kuna mpango wowote wa electronic card kwa wanachama?
Kama ni ndio, tunazipataje sisi wa mikoani?
Hivi kuna mpango wowote wa electronic card kwa wanachama?
Kama ni ndio, tunazipataje sisi wa mikoani?
Hahahaha kwani zile kadi za wanachama zilizo tengenezwa na bank ya posta ziliishia wapi ,Hii sijasikia kabisa asee
Pengine ziliyeyukia juu kwa juu[emoji1] mana hakuna promotion yoyote kuhusu hili. Labda zitakuja rasmi na kimadhubuti mabadiliko ya uendeshaji wa klabu yatapofanyikaHahahaha kwani zile kadi za wanachama zilizo tengenezwa na bank ya posta ziliishia wapi ,
Wawape kazi ,kampuni ziwasaidiePengine ziliyeyukia juu kwa juu[emoji1] mana hakuna promotion yoyote kuhusu hili. Labda zitakuja rasmi na kimadhubuti mabadiliko ya uendeshaji wa klabu yatapofanyika
Itakuwa smart sana!Wawape kazi ,kampuni ziwasaidie
Wakifanikiwa kupata data base ya wanachama wote ndio watajua Sana idadi ya wanachama kiasi gani ,na sio kusema timu yetu INA wanachama kadhaa wkt data kamili hakunaItakuwa smart sana!
For sure Mkuu!Wakifanikiwa kupata data base ya wanachama wote ndio watajua Sana idadi ya wanachama kiasi gani ,na sio kusema timu yetu INA wanachama kadhaa wkt data kamili hakuna
Kuanzia Dar hadi huko mikoani
Maana hz club wanachama wa dar ndio wanachagua viongozi
Yaani ukisikia kipaji cha kucheza mpira Niyonzima anacho aisee.Rafiki Wa mpira huyu
Hapa GSM walicheza sana upande wa ubunifu.Hizi jezi kwa sasa sijui niifananishe na ipi. Sijui za kina Ahly zipoje. Ila ni jezi matata sana hii
Hivi kuna mpango wowote wa electronic card kwa wanachama?
Kama ni ndio, tunazipataje sisi wa mikoani?
Labda tukishaingia kwenye mabadiliko huenda hili nalo likafanyiwa kazi.Hii sijasikia kabisa asee