Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Duuu IT Technicians wetu watakuwa wana shida mahali Fulani ila naamini wanahangaika kuliweka sawa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika na unajua tena kitu kikipakuliwa na wengi sababu kiukweli kabisa sisi Mashabiki wa timu ya wananchi huwa tunapenda yale mazuri yanayofanywa na klabu hivyo si ajabu kila mmoja anataka awe nayo timu kiganjani. πŸ˜€

Sasa ule msongamano nao unaeza kuwa ndio unaosababisha yote.

Yes. Nimeona sehemu wanasema hilo swala linashughulikiwa. Hivyo soon tutapata mazuri yaliyomo mle pasi shida.
 
Kupata kichekesho kama hiki Andika neno CHURA kwenda namba 70124. asante
 
Kupata kichekesho kama hiki Andika neno CHURA kwenda namba 70124. asante
Wenzako wanaojiita watabiri walisemaga hivyo hivyo mwisho wa siku tukawanyoosha.

Ombea tupangwe na nyie uone nini kitatokea.

"Bila janjja janjja Yanga hafungwi na 5imba" (In Nuggaz voice) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wenzako wanaojiita watabiri walisemaga hivyo hivyo mwisho wa siku tukawanyoosha.

Ombea tupangwe na nyie uone nini kitatokea.

"Bila janjja janjja Yanga hafungwi na 5imba" (In Nuggaz voice) [emoji23][emoji23][emoji23]
Akiona hizi kosakosa hatotamani kutusogelea ha ha ha
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika Mikia hawataki kusikia na kuona kipute hiki. Na hakuna wa kutia mguu hapo. Wote bado wako kimyaaa.
Mnyero FC Walijua mpira unachezwa mitandaoni. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yule ropo ropo wao akawaaminisha eti nyie subirini tarehe 08 Machi dunia itasimama hii.

Akajua mbele ya Presdaa wa CAF pia mpira utachezwa kwa sheria za miamala. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… lol.
 
Wenzako wanaojiita watabiri walisemaga hivyo hivyo mwisho wa siku tukawanyoosha.

Ombea tupangwe na nyie uone nini kitatokea.

"Bila janjja janjja Yanga hafungwi na 5imba" (In Nuggaz voice) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha vitisho weweeee subiri ligi irudi tubebe mwari wetu. Nyie gombanieni nafasi ya NNE na akina Namungo.
 
Ha ha ha baada ya kipigo akaishia kusema jamani nipo karantini huku ulaya!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…