ππππHapo hata maji huwa hayawashuki shingoni kwa jinsi walivyo na gubu ha ha ha ha
Ni yeye japo kama nimejikuta namshangaa tu kumbe hakuendaga kule walikompelekaga kwa mkopo mana si ndio aligoma kwenda?Huyo mwingine ni Ally Ally siyo?
Hakika.Daaa natumai muda si mrefu mambo yatakuwa sawa
Usijali Mtani.Aisee pole sana kwa mshtuko Shadeeya.
Ni mtoto mmoja hivi wa kisambaa aliniteka mwezi mzima, si unajua tena mambo ya Tanga.
Oooh!!!Simba inapiga mpira mkubwa haiitaji kununua wala kuhonga ili kupata ushindi, level za Simba ni za Duniani huko siyo huku porini walipo YangaπΈ.
Jambo moja unatakiwa kujua unapoiongelea Simba jua unaiongelea Dunia kwa ujumla.
#Next level #Back2Back10 (kwa sauti ya haji manara)
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Hahahaaaa. Kicheko changu cha leo kimeanzia hapa Mtani. Lol.Shadeeya kumbe ulishaanza kunenepeana hovyoπ kwa kujifariji na vigoli uchwara, subiri Mnyama Simba aje kufanya yake kwa kutwaa Ligi kuu na FA hakika mwili wako utarudi kwenye hali yake ya kawaida.π
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Amakweli Masikini akipata
Sio yeye tu. Wengine hawa hapa ambao unajua nini walifanya ile January.Wao kwao ligi ni mechi na Simba tu kama ambavyo mchezaji kwao ni Morison tu!
Mtani unaongea na simu ama? πββοΈπββοΈMlikuwa mnapiga kelele eti ligi ifutwe halafu ili iweje sasa.
Doooh!!Walidhani watapewa wao ubingwa, tena ubingwa wa mezani kwq sababu kuna waandishi wa habari wali manazi wa Chura FC wanawavimbisha kichwa eti wanawaita "mabingwa wa kihistoria" ukiuliza maana yake nini wanasema Yanga ilichukuaga ubingwa mwaka 47!!!π€£π€£π€£
Hahahaha ,mtani unajiaminiHEBU WAPANGE RATIBA TUJUE SISI NA WAO NI LINI. [emoji41]
πππ Bila janjja janjja hawafurukuti kwetu hao Mtani.Hahahaha ,mtani unajiamini
Hahahaha, sawa mtani ,lkn mtani ,usajiri wako wa magazetini naona uko vzr, ngoja tuone sasa kweli mtawasainisha?[emoji23][emoji23][emoji23] Bila janjja janjja hawafurukuti kwetu hao Mtani.
Simba ya wapi ndugu!? Ha ha haSimba inapiga mpira mkubwa haiitaji kununua wala kuhonga ili kupata ushindi, level za Simba ni za Duniani huko siyo huku porini walipo Yanga[emoji196].
Jambo moja unatakiwa kujua unapoiongelea Simba jua unaiongelea Dunia kwa ujumla.
#Next level #Back2Back10 (kwa sauti ya haji manara)
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Muda utaongea Mtani. Tusubiri tuone.Hahahaha, sawa mtani ,lkn mtani ,usajiri wako wa magazetini naona uko vzr, ngoja tuone sasa kweli mtawasainisha?