Huyu naye mlimnenepesha kilo ngapi?🤣
Wa GSM huyo ujue unaanzaje kumnenepesha. 🤣🤣🤣Huyu naye mlimnenepesha kilo ngapi?🤣
Kwani Yanga si ni kituo cha unenepeshaji siku hiziWa GSM huyo ujue unaanzaje kumnenepesha. 🤣🤣🤣
Hebu tupateni break kidogo nyie MIKIA wenzangu. Teh
Sesten Zakazaka
Penison
Troisième Ceil
Van pebles
Hii haisaidii kwani kipigo kwa Mwadui kiko pale pale. [emoji41]
Hebu tuacheni watu wa La liga huko. [emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Yanga si ni kituo cha unenepeshaji siku hizi
Ha ha ha haHahahaaa. Kwani mnaufukuzia peke yenu nyie Mnyero Fc?
Kuna jambo kigogo 14 alilisema kuhusu huyu bwana kwa kweli inasikitisha!Nyie danganyweni tu na yule roporopo wenu. [emoji41][emoji41]
Ni nakwambia sahzi marefa wameanza kunenepa baada ya ligi kurudi hasa pale wanapozikumbuka hela za Mbumbumbu fcWino upi huo wa miamala au?
Bila dawa na miamala hawa ni wepesi hata kwa Yanga aprinces wanaweza wasipate matokeoUzuri wenu mechi za kimataifa mnapulizia ile dawa yenu maarufu.
Mechi za ligi mnatumia muamala.
Bila janja janja ninyi ni wepesi sana
Kama pale ndio waliteleza kidogo basi kuteleza kukubwa sijui ndio inakuwaje ha ha haOohoooo!!! Unaongea na simu Ses ama?
Duma himself!
Eeeh asee, Daaa ila nasikitika kuona kwenye hii ligi yetu sisi mnyonge wetu ni Simba tu mana kina kmc wanatufunga. Tukicheza na simba ndio muda pekee tunakuwa na uhakika Wa asilimia zote kuondoka na matokeoRatiba ya Laliga leo:
Deportivo la utopolo Vs Real Mwadui Fc
Estadio de Kambarage
10:00 EAT
Sent using Jamii Forums mobile app