Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Jumapili ntakuwa busy na maandalizi ya kwendaTaifa hivyo jumatatu ndo nitapatikana.
Hahahaaa. Lol.Sio utakuwa busy sema inategemeana na matokeo[emoji16]
Hahahaaa. Lol.
Na ndio kitakachotokea hawawezi tufunga mara mbili na amini timu ya Wananchi tunashinda 2 bila.Jumapili nategemea kushuhudia hat trick kwenye ligi kuu, bila shaka Azam fc hawataniangusha kwenye hilo.
Masumbwi Football Club inabidi mjipange angalau mfute uteja safari hii.
😀😀Tutaendelea kuandika ili usome kimya kimya mpaka ujiandae[emoji16]
Nisome as a guest. 🤣🤣🤣🤣 lolTutaendelea kuandika ili usome kimya kimya mpaka ujiandae[emoji16]
Hahahaha, mtani naona mdg mdg mabadiliko yanakuja , kesho utakuwepo taifaHuko kwenye Page ya Sevilla hiki ndo kilichoandikwa jana kuhusu Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Huko kwenye Page ya Sevilla hiki ndo kilichoandikwa jana kuhusu Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Ndio Mtani naamini mpaka hiyo miaka mitatu na nusu tuliyoungana nayo watakuwa wametupa mengi ambayo yatatuweka pazuri Timu ya Wananchi.Hahahaha, mtani naona mdg mdg mabadiliko yanakuja , kesho utakuwepo taifa
Kesho kazi ipo.
Tueleweshe basi Mtani? 😎Tatizo sio kuandikwa bali mmeelewa kilichoandikwa[emoji16]
Betri hilo veeeppeee.Kesho lazima tuchomoe betri[emoji16]
Ndio Mtani naamini mpaka hiyo miaka mitatu na nusu tuliyoungana nayo watakuwa wametupa mengi ambayo yatatuweka pazuri Timu ya Wananchi.
Yees!! Nitakwenda Mtani.
Tueleweshe basi Mtani? [emoji41]
Betri hilo veeeppeee.
Yanga tunashinda 2 bila. [emoji41]