Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Pia wasisahau kutupa njia wanayoitumia kupulizia ile dawa pendwa
 
Pia wasisahau kutupa njia wanayoitumia kupulizia ile dawa pendwa
Nakazia. Hebu watupe maujuzi hapa. 😂😂
 
Na mechi walizonunua against us.
 
TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI WA SIMBA SC.

KAMATI MBALIMBALI ZA SHEREHE ZA UBINGWA WA SIMBA SC.

1.Ulinzi---JKT RUVU & TZ PRISONS
2.Mapambo --MBEYA CITY & KMC
3.Vinywaji---AZAM FC
4.Chai--MTIBWA & KAGERA SUGAR
5.Usafiri--SPENDI UNITED
6.Kuni--MBAO FC
7.Mziki--NAMUNGO
8.Usafiri---ALLIANCE

9.Kuosha vyombo kama Masufuria na Masahani,Kusafisha meza,Kutoa vyombo mezani,Kutoa na huduma kwa wage ni waalikuwa # YANGA ----Hawa wake mapema sana na kama ikibidi walale Eneo la tukio maana sare zao zipo tayari.

10.Mc--- MASAU BWIRE.
 
Leo nimekumbuka Dada yangu Nifah uko wapi jamaani.

I miss u. Nakumbuka sana vile ulikuwa unawafanyia fujo hawa upande wa pili.

My God, kidogo nilie jamani [emoji24][emoji24]
Majukumu yamenizidi dada yako, niko busy mpaka naumwa!
Nitajitahidi walau niungane nanyi katika mechi kadhaa live... tatizo timu yetu nayo pasua kichwa basi morali inashuka!
Asante kwa kunikumbuka [emoji3590][emoji1488]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…