Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hao ni mamluki tu, kaangali insta ya Tshishimbi nae anavyoshangilia. Hapo hamna cha maana.
Kama una kesi TFF, na haijatolewa hukumu. Kwanini timu yeyote ikusajili? Hiyo timu itrakuwa na watu wenye akili?
Pili, tuseme kuwa Simba wanajua mkataba wa Yanga ni batili, wamejuaje? Ina maana hukumu ime-leak?
Hapo hakuna mkataba na Simba, ni mamluki wanalipwa kwa fadhila walizofanya, wengine wamepigwa chini na huyo lazima hela iende Yanga.
Ndio mana nikasema TFF ni yao Mikia na ndio waliowapa kujiamini kote huku.
 
Hao ni mamluki tu, kaangali insta ya Tshishimbi nae anavyoshangilia. Hapo hamna cha maana.
Kama una kesi TFF, na haijatolewa hukumu. Kwanini timu yeyote ikusajili? Hiyo timu itrakuwa na watu wenye akili?
Pili, tuseme kuwa Simba wanajua mkataba wa Yanga ni batili, wamejuaje? Ina maana hukumu ime-leak?
Hapo hakuna mkataba na Simba, ni mamluki wanalipwa kwa fadhila walizofanya, wengine wamepigwa chini na huyo lazima hela iende Yanga.
Na nionavyo hii kesi yetu itabakia kuwa hadithi tu na haitokaa itolewe maamuzi.

Mana nimeoma sehemu hiyo tarehe 10 sio kwamba tutajua mbivu na mbichi bali eti kesi itaendelea kusikilizwa. Hapo unaona picha gani Mkuu?
 
Tuwe wavumilivu
yangasc___CDoOjg2gQEw___.jpeg
 
KAULI YA SIMON PATRICK NAIBU KATIBU MKUU WA YANGA HIYO. 👇 BAADA YA YALIYOTOKEA.

Wananchi Msikubali kuyumbishwa, Hili sakata ndio litakaloleta mageuzi ya mpira Tanzania, kuanzia kwenye mifumo ya haki mpaka kwenye taasisi za mipira.

Serikali ya JPM husimama upande wa wenye haki. CAS pia husimama upande wa wenye haki.

Nawaomba wanayanga msiwe na wasi wasi wa aina yoyote zama za ujanja ujanja zimeshaisha.

The Series is on, vaa miwani ya 3D, agizia kahawa, weka bundle.

Nawatakia mapumziko mema ya sikukuu ya nane nane.

#daimambelenyumamwiko
 
KAULI YA SIMON PATRICK NAIBU KATIBU MKUU WA YANGA HIYO. [emoji116] BAADA YA YALIYOTOKEA.

Wananchi Msikubali kuyumbishwa, Hili sakata ndio litakaloleta mageuzi ya mpira Tanzania, kuanzia kwenye mifumo ya haki mpaka kwenye taasisi za mipira.

Serikali ya JPM husimama upande wa wenye haki. CAS pia husimama upande wa wenye haki.

Nawaomba wanayanga msiwe na wasi wasi wa aina yoyote zama za ujanja ujanja zimeshaisha.

The Series is on, vaa miwani ya 3D, agizia kahawa, weka bundle.

Nawatakia mapumziko mema ya sikukuu ya nane nane.

#daimambelenyumamwiko
Mbuyu Twite
Hassan Kessy
Yondani

mlizoea vya kunyonga

huko juu tulishaenda kabla yenu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Na nionavyo hii kesi yetu itabakia kuwa hadithi tu na haitokaa itolewe maamuzi.

Mana nimeoma sehemu hiyo tarehe 10 sio kwamba tutajua mbivu na mbichi bali eti kesi itaendelea kusikilizwa. Hapo unaona picha gani Mkuu?
Maamuzi yanaweza kutolewa hata baada ya ligi kuanza, hilo siyo jambo la ajabu. Ila, ilishajulikana kuwa hatochezea Yanga kwa hiyo sioni cha ajabu. Ila, nimeidharau sana Club ya Simba. Just kumsajili mchezaji mwenye kesi kunaonyesha ukosefu wa professionalism.
Ni sawa na kufunga ndoa na mtu mwenye shauri la talaka mahakamani, ndiyo ndoa itaisha lakini ni uhuni.
 
Maamuzi yanaweza kutolewa hata baada ya ligi kuanza, hilo siyo jambo la ajabu. Ila, ilishajulikana kuwa hatochezea Yanga kwa hiyo sioni cha ajabu. Ila, nimeidharau sana Club ya Simba. Just kumsajili mchezaji mwenye kesi kunaonyesha ukosefu wa professionalism.
Ni sawa na kufunga ndoa na mtu mwenye shauri la talaka mahakamani, ndiyo ndoa itaisha lakini ni uhuni.
Mbumbumbu hao Mkuu.
 
Kiukweli Simba nao sidhani kama ni wajinga bana kumuonyesha dhahiri na vyombo vya habari vyote vikubwa kutangaza pasi wasi wasi.

Pale nionavyo hakika tumeshalizwa na GSM.

Tuendelee tu kusajili Mkuu hatuna jinsi ila haya mauza uza ya GSM inabidi ije ifikie kikomo chake.
Ikitokea kwamba viongozi na gsm walitudanganya basi wote watakosa sifa za kuwepo kwenye nafasi zao
 
Jina la Mbumbumbu hawakubatizwa na legendary Rage kwa bahati mbaya

Hawa jamaa ni mbumbumbu kweli
Maamuzi yanaweza kutolewa hata baada ya ligi kuanza, hilo siyo jambo la ajabu. Ila, ilishajulikana kuwa hatochezea Yanga kwa hiyo sioni cha ajabu. Ila, nimeidharau sana Club ya Simba. Just kumsajili mchezaji mwenye kesi kunaonyesha ukosefu wa professionalism.
Ni sawa na kufunga ndoa na mtu mwenye shauri la talaka mahakamani, ndiyo ndoa itaisha lakini ni uhuni.
 
Nataka iwe on record, kwamba

Napinga tapeli Morrison kwenda Mbumbumbu Fc, sio kwa sababu Yanga tunamhitaji saaaana

Napinga utapeli unaofanywa na Morrison na Mikia FC
 
Back
Top Bottom