Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mtanii huyu hana nidhamu

Tuachieni tu.

Hapa ndo janja Janja ya GSM mtailewa.
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 

Attachments

  • 2480291_IMG-20200808-WA0026.jpg
    63.4 KB · Views: 2
mmmh. Kauli gani ya kimichezo hii Mkuu.

Hapana mi mtu wa Pwani. Tutaniane ila si kwa kauli zilizo na tafsiri mia mia.
Yaani umemaanisha kabisa wakati ulikuwa utani..OK sio mbaya let's go
 
Aaah!! Nina hakika tunakoelekea tutawaelewa vizuri kilichowaleta Yanga kama ni kheri ama la.
Mtani Mimi naamini Simba pale tunawatu makini sana kama kina senzo, magoli nk.

Ni ngumu sana kukurupuka kwenye hili, ukiona hivo jua wamejiridhisha vya kutosha.

Uongozi wa yanga nahisi uliingizwa chaka na GSM
 
Mtani Mimi naamini Simba pale tunawatu makini sana kama kina senzo, magoli nk.

Ni ngumu sana kukurupuka kwenye hili, ukiona hivo jua wamejiridhisha vya kutosha.

Uongozi wa yanga nahisi uliingizwa chaka na GSM
Na mimi hilo linanifanya nibakiwe na asilimia chache sana za kuamini kwamba ana mkataba kwetu.

Ila muda utaongea japo Uongozi wa Yanga wametoa ile barua wakijua dhahiri tumeshitushwa na hizi habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…