Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tunaona danganya zenu...lazima tutie pressure, lazima rungu liwapate, hamna pa kujificha

Hapo hapo .. mna msala na azam, mna msala na Mtibwa..

told you about GSM, kuweni nao makini sana, mtajikuta ligi moja lipuli sasa hivi
Kwani saa nne mbali basi?
 
Tunaona danganya zenu...lazima tutie pressure, lazima rungu liwapate, hamna pa kujificha

Hapo hapo .. mna msala na azam, mna msala na Mtibwa..

told you about GSM, kuweni nao makini sana, mtajikuta ligi moja lipuli sasa hivi
Huo Msala na Mtibwa ni upi?
 
Sio Mtoto mdogo yule Mtani kwa kila anachofanya anajua advantage na dis-advantage.

Hivyo muacheni na huenda kaona huko atakakolalia mkeka huenda akapata usingizi mnono kuliko huko kwenye godoro.
 
Eti tumemloga lol.

Kaipenda Green and yellow huyo. 😂
 
MSIJIFANYE MKO BUSY NA KESI HUKO TIEFUEFU , FEI TOTO TUMESHAMSAINISHA HUKO TENA MIAKA 4.

 
WACHEZAJI WACHACHE WA TIMU YA WANANCHI WALISHAANZA KUJIFUA HUKU WAKISUBIRI WENZAO.
 
Kama yanga hawana mkataba wa morrison wa miaka 2 mnategemea nini?.
Hakuna HURUMA kwenye mambo ya kisherria.
Msije mkaanza kusema mnaonewa kisa ni masikini
Umeipata wapi hii au ndio bado upo kwenye hilo godoro mana mi wa kwenye mkeka naona saa tatu sasa.

Na maamuzi ni saa nne. [emoji41]

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…