Kama hii barua yao kwangu naiona ni kutufariji tu tuwaone wao wapo sahihi.Mtani Utopolo wenzio hawataki kukubali, wakati Kamati imewastahi Wasipelekwe mahabusu kwa kufoji mkataba.
Ahahaha pole ndo shida ya kurithiDingi huyo yaani anaipenda Yanga mbaya. Miaka hiyo nipo nyumbani ilikuwa Yanga ikishinda ujue siku hiyo kama ni soda tutanunuliwa za kutosha na ikitokea imefungwa basi ujue siku hiyo asikosewe kwani ikitokea ni kichapo ndo kitatembea.
Basi tangia hapo na mie nikajikuta naipenda Yanga tu kwa kweli japo kuna mwaka fulani niliwahi kujaribu kuhama lakini nikashindwa aisee.
#Wachainiue. 🤣
Unadhani mashabiki wa kiTz tutapozwa kwa style gani Mtani.Yanga na nyie mtulie.
Mnajipa stress za bure
Umeonaeee!! Bro hii ni geresha tu ili tusiondoe imani kwao.Hii itakua wanatupoza tu kama ya Manara na kwenda Fifa..
*Kiukweli bado tuna safari ndefu kwa hali hii.
Wanataka wawafanyie kama alichotufanyia manara kadi ya njano kwenda FIFA, maana TFF wameokoa tu viongozi wenu wasipate kesi ya kufoji mkatabaKama hii barua yao kwangu naiona ni kutufariji tu tuwaone wao wapo sahihi.
Ila wacha tuone what is next. Mana si ajabu hiyo barua ikawa ndo imefunga kila kitu.
Hahah dah ishu ya Tshishimbi ila nyie mna visanga sana na Yanga yenuUmeonaeee!! Bro hii ni geresha tu ili tusiondoe imani kwao.
Wanasahau kwamba imani kwao ilishaondoka tangia ile issue ya Tshishimbi.
Hata mie hizi naziona sitiresi Mtani. Why tuhangaike na issue moja kila siku badala ya kuganga mengine?Yanga na nyie mtulie.
Mnajipa stress za bure
Hamna kingine hapo.Wanaona aibu tu
😀Ahahaha pole ndo shida ya kurithi
Ila inakera sana Mtani.Wanataka wawafanyie kama alichotufanyia manara kadi ya njano kwenda FIFA, maana TFF wameokoa tu viongozi wenu wasipate kesi ya kufoji mkataba
Umeonaeee!! Bro hii ni geresha tu ili tusiondoe imani kwao.
Wanasahau kwamba imani kwao ilishaondoka tangia ile issue ya Tshishimbi.
Acha tu yaani imebakia stori na nasikia soon mnamtambulisha.Hahah dah ishu ya Tshishimbi ila nyie mna visanga sana na Yanga yenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kama Prof JNi antonio nugazi nini.Yule msomali anayejiita engineer,ni kweli engineer?au ndo kama kina Prof J ?Viongozi Yanga matapeli tupu. Hakuna professionalism.
Yah!! Japo kwa upande wangu ingependeza waliohusika wakachukuliwa hatua ili wasirudie huu ujinga tena.Hata hivyo nadhani kamati imetumia busara sana kuhakikisha Yanga haingii kwenye kesi ya kugushi mkataba.
Poleni Mtani, ndiyo soka la Bongo.
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tano zileeeee...gwara naiona ileeee
Hii Tanzania mtu anaweza jiita Engineer,kumbe hata VETA tu hajawahi soma.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kama Prof J
Usijekuta unaamini hiki kituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. wanajua wameponea kufungiwa, wame negotiate siku 3 wasifungiwe alafu waende huko? thubutu, ni wajinga lakn sio wajinga hv[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Yah!! Japo kwa upande wangu ingependeza waliohusika wakachukuliwa hatua ili wasirudie huu ujinga tena.
Ahsante Mtan! Ni kweli soka la Bongo ni sitiresi tu.