Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hata mie hizi naziona sitiresi Mtani. Why tuhangaike na issue moja kila siku badala ya kuganga mengine?

Sababu wakiipeleka huko mambo yanaanza tena upya na si ajabu mwisho wa siku tukashindwa tena.
Hahah kuna muda mtani nakuonea huruma nakwambia hzi stress wanazokupa hustahili hata
 
Morison hajawahi kuwa Mwizi,Ni mchezaji mzuri sana,Hayo mengine mtuachie sisi sasa.....

Msikate tamaa Utopolo hamjachelewa sana Msajilini BERNARD MEMBE
Da! haya matusi kwa kweli hakuna budi tuyakubali tu maana viongozi wetu ndo wametufikisha kwenye matusi haya.pasipo wao sisi tusingetukanwa leo
 
Tuombage uzima tu , japo nikukumbushe kuwa bado tunaendelea na usajili. [emoji41]
Nyie sajilini tu.. bechi letu bado ni bora kuliko first eleven yenu

Kanda bench
Kahata bench
Dilunga bench
Mzamiru bench
Ajibu Bench
Miraj Bench
Ndemla Bench
 
Ila nazikubali zinafanya hatuwi vifutu. [emoji23][emoji23][emoji23]

Tutanenepa saa ngapi sa kama mambo zenyewe ndo hizi. 🙁🙁
Wallah hapo kunenepa utapasikia kwa jirani tu.

Likiisha ili linaanza la sureboy[emoji23][emoji23]
 
Usijekuta unaamini hiki kituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. wanajua wameponea kufungiwa, wame negotiate siku 3 wasifungiwe alafu waende huko? thubutu, ni wajinga lakn sio wajinga hv
Uwiiii!! Huwa sina kiwango cha kuamini kinachofikia huku Mtani.

Siku mingi tu nilishaona wana mambo meusi. Hii ni geresha tu ili Wanachama wasianze kuwalalamikia.
 
Hii itakua wanatupoza tu kama ya Manara na kwenda Fifa..

*Kiukweli bado tuna safari ndefu kwa hali hii.
Viongozi wa Yanga waache ujanja ujanja kwanini wasingekaa na mchezaji wakasaini mkataba tu bila shida yoyote badala ya kufanya forgery?

Au kwasababu wao hawakumsajili Morisson hivyo hawakuwa concerned na contract yake ina muda gani ?

So sad.
 
Kwahiyo mnaenda FIFA ?[emoji2369]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nakuhakikishia hawatoboi.
Tena bora wafunike kombe mwanaharam apite vinginevyo yajayo yatahuzunisha umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…