Hahahaaa. Aliongeaga hivyo yule jamaa wa Utopolo ujue sio mimi.Mtani umesababisha nicheke kwa sauti aisee.
Kwa hiyo mkipanda basi la timu na kucheza ni kazi yenu itakuwa!
Usiondoke Mtani nani atatutambia.Aaah Shadeeya inamaana hutaki hata kuniona unanifukuza kweli?☺
Acheni kututisha na tarabu zenu za Manara, kwanza hakuna mtu muongo kama Manara. Issue ya kushushwa daraja ni kutokana na upangaji wa matokeo. Issue za usajili kama hizi timu haiwezi kushushwa daraja hua inafungiwa kusajili, mfano mzuri kuna team ya Ethiopia huko imemzingua yule aliyekua kipa wenu wa zamani na wamefungiwa miaka mitatu kusajili na sio kushushwa daraja.Wacha waende CAS ndo pcha litakua tamu zaidi. Ndo watajua hawajui
Kutokana na maelezo ya kamati wanadai mkataba haujafojiwa ila una mapungufu.. Hayo mapungufu yametokana tu utamaduni wa klabu nyingi tu kusajili kienyeji enyeji bila kuangalia mbeleni kua kuna mambo kama haya yanaweza kutokea huko mbele.Viongozi wa Yanga waache ujanja ujanja kwanini wasingekaa na mchezaji wakasaini mkataba tu bila shida yoyote badala ya kufanya forgery?
Au kwasababu wao hawakumsajili Morisson hivyo hawakuwa concerned na contract yake ina muda gani ?
So sad.
Hela ya kumpa sureboy hamna, mtakuwa nayo ya kumpa Bwalya[emoji196][emoji196][emoji196]Tuachane na ayo mambo ya kukata rufaa, tuachana nae acheze Simba. Yani tukizidi kuendelea kumgombania tunampa sifa nyingi na tunatia aibu. Tuendelee kusajili timu nzuri mana ad sasa tuko vizuri. Tutafute na winga mzuri wa pembeni achukue nafasi ya Morrison na kiungo mshambuliaji no. 8 anaepiga pasi za uhakika kuzidi Fei toto tutakua tumemaliza.
1. Shikalo/Metacha
2. Boxer/Shomari
3. Eric Rutaga/ Yasin
4. Lamine
5. Mwamnyeto
6. Kotei / zawadi mauya
7. Farid Musa
8. Fei toto
9. Yacouba Sougne/Waziri Junior
10. Bwalya
11. Niyonzima
Cas ni mahakama ya usuluhishi wa masuala ya kimichezo, world wide makao yake makuu yapo Uswisi.Kwani CAS ni wapi Mtani?
Yanga walipeleka ofa ya 35M kwa sure boy Azam wametaka si chini ya 70M, halafu wakati huo mchezaji amebakiza mkataba wa mwaka 1. Hata kama mtu una ela za kuchezea huwezi kufanya biachara kichaa kama hii.Hela ya kumpa sureboy hamna, mtakuwa nayo ya kumpa Bwalya[emoji196][emoji196][emoji196]
Vichekesho
Hukumbuki tulikua na Prof Maji Mafupi?🤣🤣🤣Hii Tanzania mtu anaweza jiita Engineer,kumbe hata VETA tu hajawahi soma.
Kamati ilitoa hoja dhaifu sana.Kutokana na maelezo ya kamati wanadai mkataba haujafojiwa ila una mapungufu.. Hayo mapungufu yametokana tu utamaduni wa klabu nyingi tu kusajili kienyeji enyeji bila kuangalia mbeleni kua kuna mambo kama haya yanaweza kutokea huko mbele.
Na tatizo kubwa Yanga na GSM hakuna connection nzuri hapa katikati, wanafanya vitu bila kuzingatia protocol,, kifupi vitu vingi havipo professional kwenye timu yetu.
Wakithubutu kwenda huko ndio wanajimaliza kabisaaa. Makaburi yote yaliyofunikwa kwa kutumia busara za tiefuefu yatafukuliwa!Kwahiyo mnaenda FIFA ?[emoji2369]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kimsingi watashushwa daraja na kuwadiscredit sana tffWakithubutu kwenda huko ndio wanajimaliza kabisaaa. Makaburi yote yalifunikwa kwa kutumoa busara za tiefuefu yatafukuliwa!
Kama hawaogopi kushuka daraja basi waende huko CAS
Kweli kabisa mkuu. Yale mapungufu ya kwenye ule mkataba sio madogo. Actually kuna jinai pale na ni tusi la moja kwa moja(direct insult) kwenye familia ya mpira Tanzania, kuanzia kwa wachezaji, vilabu, mashabiki na hata kwa shirikisho la mpira lenyeweKimsingi watashushwa daraja na kuwadiscredit sana tff
Tff kwann walipitisha huo mkataba?? Kama walipitisha basi wa kwanza kupigwa chini ni tff maana wao ndo washauri na watendaji wakuu katika kuendesha timu, na mashabiki tunaamini kuwa wao ndo jicho la mpira wa kibongo.Wakithubutu kwenda huko ndio wanajimaliza kabisaaa. Makaburi yote yaliyofunikwa kwa kutumia busara za tiefuefu yatafukuliwa!
Kama hawaogopi kushuka daraja basi waende huko CAS
Definitely kutakua na consequences hata kwa viongozi wa Shirikisho letu la soka, lakini Yanga ndio culprits kwenye hii issue na ndio wataathirika zaidiTff kwann walipitisha huo mkataba?? Kama walipitisha basi wa kwanza kupigwa chini ni tff maana wao ndo washauri na watendaji wakuu katika kuendesha timu, na mashabiki tunaamini kuwa wao ndo jicho la mpira wa kibongo.
Definitely kutakua na consequences hata kwa viongozi wa Shirikisho letu la soka, lakini Yanga ndio culprits kwenye hii issue na ndio wataathirika zaidi
Kwa timu yenu hiyo mkifungiwa kusajili itakuwaje?Acheni kututisha na tarabu zenu za Manara, kwanza hakuna mtu muongo kama Manara. Issue ya kushushwa daraja ni kutokana na upangaji wa matokeo. Issue za usajili kama hizi timu haiwezi kushushwa daraja hua inafungiwa kusajili, mfano mzuri kuna team ya Ethiopia huko imemzingua yule aliyekua kipa wenu wa zamani na wamefungiwa miaka mitatu kusajili na sio kushushwa daraja.
Japo sina uhakika kama Yanga wataenda huko ila vitisho vyenu vya kiboya kama hivi havitushtuwi hata kidogo.