Kama ni kweli sio mbaya.
Soon wataanza kushuka hapo ndo tutaelewana Mtani.
Ndio tafsiri yenyewe ya UMbumbumbu hiyo shem.Eti wanaikomoa Yanga.
Ikiwa hivyo si tunawarahisishia Mtani kama tulivyowarahisishia kwa Morison. Mana ndo zenu.Ila msiwape mikataba ya uongo kama ile ya Chief Mangungo na Karl Peters.
Maana nyie na GSM janja janja sana.
Nadhani uongozi umeshajifunza now.Ila msiwape mikataba ya uongo kama ile ya Chief Mangungo na Karl Peters.
Maana nyie na GSM janja janja sana.
Kweli shemela.Ndio tafsiri yenyewe ya UMbumbumbu hiyo shem.
Mzima lakini Shem?Kweli shemela.
Mwaka huu wananchi tumepatikana sana aise; Mara tupost ndege, Mara tupo airport, mara tuombe selfie na kina ibenenge; Mara tuweke bundle yani full usumbifuUtazipata Mtani japo kwa sasa anga limetulia hivyo mjiandae mana tunaanza kuwashusha mmoja mmoja. lol
Hongereni kwa kukusanya Mtani.
Kwema kabisa shemela.Mzima lakini Shem?
WIKI YETU WANANCHI IKO NJIANI TUJIANDAE.
WIKI YETU WANANCHI IKO NJIANI TUJIANDAE.
Mlengwa ni huyo Meneja wetu hapo Mtani huyo Zahera katokea tu na nina wasiwasi aliyetengeneza hajamwona. πππPicha ya papa zahera inafanya nini tena apo mtani
ππKwema kabisa shemela.