njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
jibu lake lipo tayari TFF na simba wanafanya hujuma,watavurugana hawa dirisha dogo wanafukuza vichwa vya kutosha huku wakilaumu simba na marefa na tffMuunganiko wa timu , hukumbuki msimu uliopita zahera alichelewa kujiunga na timu ,kilichofuata?
OK nisiwaingilie timu yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, kumbe wao wenyewe ,tuwaachie timu yaojibu lake lipo tayari TFF na simba wanafanya hujuma,watavurugana hawa dirisha dogo wanafukuza vichwa vya kutosha huku wakilaumu simba na marefa na tff
Maneno ya wakosaji haya. 😂😂Kwakweli kashayakanyaga na pengine hapo alipo anajutia maamuzi yake. Lakini ndio haiwezekani tena kuondoka maana itaharibu sana CV na image yake. Itabidi avumilie tu yote atakayokutana nayo angalau afikishe japo miezi sita
huyo carlos kwa ile picha ya pale uwanja wa ndondo aisee anajuuuta sana siku akianza kuijua simba vizuri inavyoendeshwa na kuishi kinyamwezi atashangaaaaManeno ya wakosaji haya. 😂😂
Ndio maana huwa nasemaje Watanzania nyie tunawapa picha tu huku tukijua kabisa maneno mutaweka wenyewe.huyo carlos kwa ile picha ya pale uwanja wa ndondo aisee anajuuuta sana siku akianza kuijua simba vizuri inavyoendeshwa na kuishi kinyamwezi atashangaaaa
dada yangu hivi kwa akili yako mnaenda kufanya la maana? uzuri visingizio vipo vya miaka yote...Ndio maana huwa nasemaje Watanzania nyie tunawapa picha tu huku tukijua kabisa maneno mutaweka wenyewe.
Huko Msimbazi kipi mnacho cha ajabu? Semeni tu mlikutana na Morison njaa kali ndio sababu akawashobokea ili aje kuwaibia vizuri.
Hayo ni mawazo yako uliyochanganya na ushabiki hivyo siezi kupinga.dada yangu hivi kwa akili yako mnaenda kufanya la maana? uzuri visingizio vipo vya miaka yote...
katika sajili zenu ukitoa wale wakongo haswa yule mwenye matege mfupi aliyejichubua na huyu anayekuja leo yacoub(very good striker)sioni cha kutisha na team haijakaa vizuri kuzoeana na janauary lazima mtimuane muanze kusajili upya na kwenda airport,shaghalabagala bado kesi za mishahara hapo katikati,duh
sawa ila si unajua tff, marefa,mo anahonga,sumu vyumbani...msisahau hayoo ooooh na msolla ni pandikizi,mwakalebela pia iringa alitaka kuuza mechi hadi bonge wa watu akalia masikini ya mungu...sijui nimesahau nini hapa,next victim ni msolla tarhe 6/9 mnagongwa na msolla anawashiwa moto siyo wa nchi hii kama wa lissu vileHayo ni mawazo yako uliyochanganya na ushabiki hivyo siezi kupinga.
Japo nikwambie tu mtasubiri sana hizo mambo zitokee.
Oooh!! Sawa Mtabiri.sawa ila si unajua tff, marefa,mo anahonga,sumu vyumbani...msisahau hayoo ooooh na msolla ni pandikizi,mwakalebela pia iringa alitaka kuuza mechi hadi bonge wa watu akalia masikini ya mungu...sijui nimesahau nini hapa,next victim ni msolla tarhe 6/9 mnagongwa na msolla anawashiwa moto siyo wa nchi hii kama wa lissu vile
hongereni aiseee nimeshangaa twitter utopolo wamekuwa verified maana accounts zenu za social media ni vuluvuluuuuuuOooh!! Sawa Mtabiri.
Mechi yenu vs African sport jana mlicheza au mlighairi? Kama mlicheza matokeo yalikuajeNilicheka sana jana niliona video moja Vijana wa Wananchi wanaimba kuwa huyu Calinyos ni mjukuu wa Onyango. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio Morrison ni wengi tu,Ombea awe garasa[emoji23]Hahahaaa!!! Hebu hukooo!!
Mmeshatugeuza Yanga kuwa akademi yenu Mtani [emoji41] niseme tu mlifanikiwa kwa Morisson ambaye ana kiroho cha tamaa na si kwa wengine.