Ok mkuu ngoja tuone na azam nae yupo vp, angalau ipatikane timu yenye guarantee ya ku m challange simba kwa consistencyLigi Bado Sana yanga wanawachezaji wakiushindani Kama wataingia haraka kwenye falsafa za mwalimu Basi watapigania ubingwa Hadi mwisho,shida naona kwa mashabiki kutokua wavumilivu ikatika kipindi ichi timu inatafuta muunganiko
Goli la kagere hujaliona? Uto bwanaKwa sasa TFF na bodi ya Ligi wanatakiwa kuwa wakali kwa marefa. Mfano refa wa jana wa Simba na Ihefu aliaribu mpira kwa kuwanyima Ihefu goli la wazi kwa msaidizi wake kuonesha kuwa mchezaji wa Ihefu kaotea. Pili game ya Yanga vs Prison, offside moja ya beki namba tatu wa Yanga ilikuwa kimakosa. Napata shida na waamuzi wasaidizi sana. Wameonesha mslungufu katika mechi zs kwanza tuu
Refa jana alizingua, magoli yote ya Ihefu na simba la Kagere yalikuwa clear goals, nlichogundua asilimia kubwa ya wasaidizi wa marefa hawajui kutafsiri sheria ya offside.Kwa sasa TFF na bodi ya Ligi wanatakiwa kuwa wakali kwa marefa. Mfano refa wa jana wa Simba na Ihefu aliaribu mpira kwa kuwanyima Ihefu goli la wazi kwa msaidizi wake kuonesha kuwa mchezaji wa Ihefu kaotea. Pili game ya Yanga vs Prison, offside moja ya beki namba tatu wa Yanga ilikuwa kimakosa. Napata shida na waamuzi wasaidizi sana. Wameonesha mslungufu katika mechi zs kwanza tuu
ila na kocha anazingua, sasahivi yanga kuna viungo bora sana, unachezeshaje mfumo wa kizaman wa 442! ma strikers 2 wa nini! tia takataka zote za viungo, weka mukoko Niyo,fei, farid, Kisinda, simamisha striker 1 mbele, 433 au 4231, makocha waache uzwazwa, tunataka burudan.Yanga hii ya msimu huu ni timu nzuri sana. Inshitajika mda kidogo tu iwe vzr sana, mwalim anatakiwa kuunganisha timu, ukizingatia wachezaji anao na wa kutosha. Asante Yanga kwa usajiri mzuri na wa kupambania mataji. Huyu Zawadi Mauya ni mtu na nusu. Feitoto kawa mpya. Pale mbele ni hatari tupu. Mda tu utazungumza. Mimi ni shabiki wa Dar es Salaam Young Africa na msimu huu, tuna jambo letu.
Doooh!! 🤔Haya nimebadili mawazo ,Ngoja niangalie sasa na hamtoki hii mechi zaidi ya sare.
Inatosha Mtani. Nionavyo sio mwanzo mbaya.Timu Kigwangallah naona leo mmepata point muhimu uwanja wa nyumbani.
Hivi Mtani sare tu ndio mnaishadadia namna hii?Yule mwana mama Shadeeya hali yako ?
Hata la Kagere lilikua clear goli lakini pamoja na kwamba lilikataliwa lakini refa aliharibu mchezo, goli la 2 la Ihefu lingehesabiwa lazima ingewaongezea Ihefu nguvu ya kupambana zaidi tofauti na lilivyokataliwa. Pia kibendera aliamua tu kusawazisha makosa napo alifanya vile kwa sababu alijua matokeo yake hayaiathiri simba, still watakua mbele goli 2-1Goli la kagere hujaliona? Uto bwana
Hakika.Kikosi tumekiona, marekebisho ya kocha yatakiweka sawa. Muda utaongea
lolNgoja niwakeree [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee!! Sio siri tumejitahidi ila niseme tu haikuwa bahati kwetu.Dah nimeamini uchawi upo yani kwa mpira tuliopiga Leo alafu wamepata Sare dah
Mmbea nani Kigwa au sisi?Muda wenu wa furaha umekwisha furaha yenu ni kipindi cha usajili tu Ligi ikianza ni maumivu Endeleeni na umbea wenu wa Kujadili Bill 20 ambazo haziwahusu
Hamna wa kukujibu hapo wengi wao hasira za ile ishu ya Kigwa wameona pa kujipozea ni kwenye hii mechi yetu.Naomba shabiki yoyote wa simba anaejua mpira (pasipo ushabiki au utani) ani quote anipe analysis ya mechi ya Yanga na Tz prison. Nitashukuru sana kama nitapata mtu wa kunikunijibu kitaalamu zaidi kuliko kishabiki.
*Mbali na kupigana madongo naomba tutumie pia sehemu hii kama kupeana darasa au fact mbili tatu positive.
Sisi uvumilivu tunao sana shida iko huko kwenu upande wa pili mana mnavyopiga mdomo as if hamna kitu kafanya Yanga jana wakati tulimiliki mpira kwa kiasi kikubwa tu ila ndio hatukuwa na bahati pamoja na umakini kwa baadhi ya wachezaji hasa walipolikaribia lango kwani wengi walikuwa na pupa + papara.Ligi Bado Sana yanga wanawachezaji wakiushindani Kama wataingia haraka kwenye falsafa za mwalimu Basi watapigania ubingwa Hadi mwisho,shida naona kwa mashabiki kutokua wavumilivu ikatika kipindi ichi timu inatafuta muunganiko
Yanga need to strive to turn draws into wins to challenge for the title. They registered 14 draws last season, their worst record in 12 seasons.Sisi uvumilivu tunao sana shida iko huko kwenu upande wa pili mana mnavyopiga mdomo as if hamna kitu kafanya Yanga jana wakati tulimiliki mpira kwa kiasi kikubwa tu ila ndio hatukuwa na bahati pamoja na umakini kwa baadhi ya wachezaji hasa walipolikaribia lango kwani wengi walikuwa na pupa + papara.
Timu unayo mtani , makosa madogo tuAisee!! Sio siri tumejitahidi ila niseme tu haikuwa bahati kwetu.