Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hii jezi yetu sasa nimeelewa ni kwa nini mbumbumbu waliisubiri kwa hamu kubwa sana. Bila shaka kuna mtu aliwatonya kwamba kuna Waya Wa hatari unakuja, ikabidi wawe wanaulizia kila siku chombo kinatua lini. Bonge moja la jeziiiii!!!
 
Hii jezi yetu sasa nimeelewa ni kwa nini mbumbumbu waliisubiri kwa hamu kubwa sana. Bila shaka kuna mtu aliwatonya kwamba kuna Waya Wa hatari unakuja, ikabidi wawe wanaulizia kila siku chombo kinatua lini. Bonge moja la jeziiiii!!!
Hahahaaa. Kwa sasa tunawaambia wakinuna wawe na sababu kwani jezi zetu Mashallah.
 
Jezi nzuri ila hiyo ramani mmeiweka kubwa sana kiasi cha kwamba imepoteza mvuto..

Ila design ya mchanganyiko wa rangi ni super
Daah!! Ahsante Mtani afadhali umekuwa mkweli.

Naamini mwakani tutaboresha zaidi Mtani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…