Kabisaaa Mkuu!! Na hawaezi vumilia hata kidogo.Niwajinga sana, kama wanahamu ya kutukana na kutoa kashfa waende kwenye jukwaa lao la mikia fc. Hizi kashfa na matusi kila mtu anaweza, tukiamua kwa umoja wetu kama mashabiki wa Yanga tuliomo humu wataweza kuvumilia??
Kwani huwa hamshindi..?Hahahaha, huku ligi inaendelea ,n
Uzuri wanashinda
Aibu kwa nani tena Ntani?Aibu hii
Washambuliaji wa Yanga wanatakiwa wajiulize kipi kimewaleta yangaNARUDIA TENA
SARPONG NA YIKPE TOFAUTI YAO NI RASTA TU
KISINDA NI NEW VERSION YA SIBOMANA NI MCHEZAJI MACHACHARI LAKINI SI HATARI
KALINYO TOFAUTI YAKE NA MAKAME NI YEYE ANAPIGA FAULO MAKAME NI MRUSHAJI MIPIRA
Kwani huyo manula ni mchezaji wa timu gani? Mistake yake ni mistake ya timuAsante kwa kutambua aina ya soka letu.
Mistake ya Manula tu ila tulikuwa tumewalamba.
Kwani draw ya Prison taifa unaisahau?Kwani huyo manula ni mchezaji wa timu gani? Mistake yake ni mistake ya timu
Haya basi mlishinda manula ndio alipata draw
Hongera 😂Bado unanitafuta? 😂
Duuh!! Ni page yao kweli?Naona mikia baba yenu alikuwa keshawaandalia matokeo hayo,furahini sasa. Ila mumwambie baba yenu hawezi shinda nguvu ya wananchi!!View attachment 1582868
hahahaaaa! wacha weeeh... najua mnaishi yanga kwa stress ila mnajitoa ufahamu tu.TUNAANGUSHA MOJA MOJA TU. 😅😅😅
Sometimes sitiresi hazizuiliki Mtani ila tukishapata points tatu ka hivi basi maisha yanakuwa burdaani.hahahaaaa! wacha weeeh... najua mnaishi yanga kwa stress ila mnajitoa ufahamu tu.
hongereni watani
Huu sio ushabiki , una exposé ujinga wakoKweli hii timu ya wakojoa kwa kuchutama
Nenda kashitakiNARUDIA TENA
SARPONG NA YIKPE TOFAUTI YAO NI RASTA TU
KISINDA NI NEW VERSION YA SIBOMANA NI MCHEZAJI MACHACHARI LAKINI SI HATARI
KALINYO TOFAUTI YAKE NA MAKAME NI YEYE ANAPIGA FAULO MAKAME NI MRUSHAJI MIPIRA
Sisi kua sehemu moja na nyinyiAibu kwa nani tena Ntani?
This season yawahitaji mkubali hiyo battle kwani atuezi kubali mutuache mbali.Sisi kua sehemu moja na nyinyi
Nyambafu kbs.Naona mikia baba yenu alikuwa keshawaandalia matokeo hayo,furahini sasa. Ila mumwambie baba yenu hawezi shinda nguvu ya wananchi!!View attachment 1582868
Hatari Shem.Nyambafu kbs.