Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Kuku wewe!.
 
Kufukuzwa kwa huyu kocha kutaibadili sana timu yetu na hatimae tutaanza kushinda kwa kuburudika pia. Hata Mikia Naamini wataiona impact ya kufukuzwa kwa huyu mwalimu!
ni kwel mtaijenga timu yenu ila ika itakuwa ni kwa kuchelewa, zimebaki week 2 mkutane na simba angalieni msije mkapigwa nyingi huku mkiendelea kutafuta muunganiko
 
Shadeeya hapo alipo, kama yupo uwanjani au anatazama kwa luninga bilashaka roho itakua mara inachomoka mara inarudi maana sio kwa pira linalopigwa huku Wagosi wa Kaya wanakaza si kawaida. Tusubiri lakini dakika 90 za mwamuzi
Hivi Ses uliweza kuzisubiria hizo za mwamuzi au ndo ukaishia njiani?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kitendo cha kumpiga benchi Haruna na Farid ni sababu tosha kabisa ya kumfukuza kocha. Kwanza tumemchelewesha sana ilifaa afukuzwe tu sare ya kwanza na Prisons
Umefanya nimecheka duuh!!

Ila viongozi wachuje vyema bana mambo ya kubadilisha kocha huku ndo mwaanzo kabisa wanatupoteza kwani huyo naye akija lazima apewe muda wa kuitafuta fyziksi sijui kemisitiriy.
 
Viongozi wetu msifanye tena makosa, Lwandamila yupo huru, ana jicho la kuona vipaji, ana improve vipaji, ana uelewa na soka la Tanzania na Africa, ni kati ya makocha wachache wanaoheshimika kitaalam Africa, achanen na wazungu.
Mi nachokaga sana inapofikia hapa sababu mwisho wa siku si ajabu wakaleta garasa lingine mpaka msimu unakwisha tunabakia kutoleana macho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…