Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Yanga 1 goal by SarpongMnaocheki game ngapi ngapi huko??
Tumepigwa kweli mkuu,si unaona vichwa anavyopiga Kama like goli.Huyu sarpong kama tulipigwa hivi
Kufunga kwake goli hakujustfy ujinga anaofanya...Tumepigwa kweli mkuu,si unaona vichwa anavyopiga Kama like goli.
Niliwahi kusema hapaHuyu sarpong kama tulipigwa hivi
Huyu ndiye mshambuliaji anayekamiwa kuliko wote kwenye ligi ya vpl. Hii inamaanisha ni mshambulizi anayeogopwa kuliko wote!Huyu sarpong kama tulipigwa hivi
Ana upuuzi mwingi sana, muvu nyingi anaziharibu mpira unapofika kwake. Yacouba namuona ni mzuri kuliko Sarpong.Huyu ndiye mshambuliaji anayekamiwa kuliko wote kwenye ligi ya vpl. Hii inamaanisha ni mshambulizi anayeogopwa kuliko wote!
Mfateni huyo Ykpe acheze kwenu mbona una umia sanaNiliwahi kusema hapa
Sarpong na Yikpe tofauti yao ni Rasta tu
Kisinda ni Copy ya Sibomana
Yule Yacouba sio yule aliyecheza na simba mwaka juzi ameflop mno
NB: YIKPE LINATUPIA ARABUNI KAMA HANA AKILI NZURI
,
We mzee mi sikujibu ujue kule kwenye uzi wetu wa waremboMfateni huyo Ykpe acheze kwenu mbona una umia sana
Hakuna mchezaji hapoHuyu sarpong kama tulipigwa hivi
Niliwahi kusema hapa
Sarpong na Yikpe tofauti yao ni Rasta tu
Kisinda ni Copy ya Sibomana
Yule Yacouba sio yule aliyecheza na simba mwaka juzi ameflop mno
NB: YIKPE LINATUPIA ARABUNI KAMA HANA AKILI NZURI
,
Shikamoo Kaka[emoji23][emoji23]We mzee mi sikujibu ujue kule kwenye uzi wetu wa warembo