Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Eti ni kweli yanga mnaleta kocha mpya kutoka India au Pakistan?
 
Eti ni kweli yanga mnaleta kocha mpya kutoka India au Pakistan?

kama sio msemaji mpya wa yanga huyu sijui atakuwa yule wa clouds fm maana hayo maneno si mwingine ni bin zubeiry lazima..
 
Tukichukua point 3 za Simba tutakuwa kwenye nafasi nzuri
 
Kuna umuhimu wa kuwapeleka nje Keneth Mkapa,Salvatory Edward,Sekilojo Chambua na Felix Minziro kuliko kuleta hawa wazungu hamna lolote wanalofanya,hawamalizi hata misimu miwili.Kila mwaka klabu inaingia gharama ya kuvunja mikataba
 
Hivi mkuu......Kwa nini usiliweke hili kwenye thread yenu?.......

Sidhani kama kuna umuhimu wowote wa kuiweka hii kwenye thread hii


Balantanda huyo jamaa anawekaga habari za Juve kwenye thread ya Milan...
Ni hulka yake, jitahidi umzoee
 
Hivi mkuu......Kwa nini usiliweke hili kwenye thread yenu?.......

Sidhani kama kuna umuhimu wowote wa kuiweka hii kwenye thread hii
huyo ndetichia anaakili sana, anajua ukuta wa azam hauna wasomaji so, ameamua kuleta hapa kwenye mvuto
 
Jamani mwenye kufahamu anijuze hizo salamu za Simba(mechi kati ya Yanga na African Lyon inaanza saa ngapi)?
 
Jamani mwenye kufahamu anijuze hizo salamu za Simba(mechi kati ya Yanga na African Lyon inaanza saa ngapi)?
Timu yenu wenyewe halafu unatuuliza sisi?, usihofu mtani niko na kiredio changu cha mkulima mechi ikianza nitakupa update.
 
Mechi imeshaanza tayari, nadhan imeanza saa kumi na moja kamili.
 
Mbona kipute kimeanza hujanijulisha Mtani una wivu sana wewe
 
Back
Top Bottom