Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Huyu mchezaji si mbaya hivyo. Ninachojua kule Asante Kotoko alikuwa anacheza kama namba 10 zaidi. Na kama ukimfuatilia zaidi utaona majukumu ya namba 10 anayafanya kwa kiasi kikubwa,japo simaanishi anatakiwa awe anakosa magoli kama vile Leo ila naamini hawa wwshambuliani wetu wote wawili ni wazuri ila bado hawajapatiwa namna ya kutumika. Mwalimu aendelee kuangalia tunapofeli ili awa unlock

Sidhani kama mwalimu hawajawapatia namna nzuri ya kutumika. Tatizo hawana utulivu, wanafanya maamuzi ya papara sana. Tusubirie tu yule mburundi pengine anaweza kutusaidia tatizo sugu la ukosaji wa mabao. Tumepoteza point nane zote ni kwa uzembe wa umaliziaji wa mpira. Tungekuwa na washambuliaji wakueleweka tusingekuwa na sare hata moja mpaka sasa
 
Sidhani kama mwalimu hawajawapatia namna nzuri ya kutumika. Tatizo hawana utulivu, wanafanya maamuzi ya papara sana. Tusubirie tu yule mburundi pengine anaweza kutusaidia tatizo sugu la ukosaji wa mabao. Tumepoteza point nane zote ni kwa uzembe wa umaliziaji wa mpira. Tungekuwa na washambuliaji wakueleweka tusingekuwa na sare hata moja mpaka sasa
Huu ni mpira kukosea pia ni sehemu ya mchezo
 
Huyu kaze aletewe straika wazuri dirisha dogo ili aturudishe Champions league, hivi Mikia Fc walivyolegea vile wanawezaje kuchukua kombe mbele yetu!![emoji16][emoji16][emoji119]
itakua aibu ya karne
 
20201127_104529.jpg
 
Back
Top Bottom