Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread


Sidhani kama mwalimu hawajawapatia namna nzuri ya kutumika. Tatizo hawana utulivu, wanafanya maamuzi ya papara sana. Tusubirie tu yule mburundi pengine anaweza kutusaidia tatizo sugu la ukosaji wa mabao. Tumepoteza point nane zote ni kwa uzembe wa umaliziaji wa mpira. Tungekuwa na washambuliaji wakueleweka tusingekuwa na sare hata moja mpaka sasa
 
Huu ni mpira kukosea pia ni sehemu ya mchezo
 
Huyu kaze aletewe straika wazuri dirisha dogo ili aturudishe Champions league, hivi Mikia Fc walivyolegea vile wanawezaje kuchukua kombe mbele yetu!![emoji16][emoji16][emoji119]
itakua aibu ya karne
 
Kesho Timu ya Wananchi tuna jambo letu kwa Mkapa.

16:00Hrs dhidi ya JKT Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…