Shem wa kutufunga mpaka sasa labda Mahakama tu. πππYaani hii Yanga si nchi hii.
Shem nimemuona jana katoa assist mbili.Saidoooooo.......
Umeongea kweli aisee.Shemeji .... Mwaka huu tunautaka ubingwa kwa nguvu zote. Yeyote anayecheza chini ya kiwango hata kma tulimpokea AirPort atasugua benchi tu! Sisi tunataka matokeo bwana! Anakaa benchi Fundi haruna hakizimana fadhili niyonzima na Faridi Mussa Maliki, Zawadi Mauya fundi anakaa benchi sembuse Sarpong????????
Ulijua kuota bana kwani kama ulivyosema Saido alianza.Tena hawa Ihefu ndio wanajifanya wamefufuka kutoka katika wafu, ,wameshinda game mbili mfululizo vs Kagera na juzi vs KMC.... Hawa inabidi kuwawekea mziki wa maana, yaani Saido toka dakika ya kwanza awepo ndani. Wateseke hawa Ihefu mpaka mpunga waite mbunga
Ni hatari sana.Shem nimemuona jana katoa assist mbili.
Yule ni mtu na nusu. πππ
#Antibiotics.