Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Hahahaaaa!! Kikosi kilichoanza Ligi huwezi kifananisha na hiki cha sasa hata kidogo.

Nadhani umeelewa vile kwa sasa tulivyo na fyzixi + kemisitri hivyo wale ni Uwanja tu ndo umewasitiri Mtani kubali ukatae.

Sawa nimekubali, sasa hivi tutacheza mechi za kimataifa na viporo vyetu kwa amani.

Maana tukishinda viporo ndo tunarudi kwenye nafasi tuliyoizoea "ya kwanza".
 
Sawa nimekubali, sasa hivi tutacheza mechi za kimataifa na viporo vyetu kwa amani.

Maana tukishinda viporo ndo tunarudi kwenye nafasi tuliyoizoea "ya kwanza".
Sawa Mtani ila ukumbuke tu na timu ulizobakisha nazo viporo sio za wasiwasi hivyo usijipe hundred percent kwamba utatusua.
 
Sawa Mtani ila ukumbuke tu na timu ulizobakisha nazo viporo sio za wasiwasi hivyo usijipe hundred percent kwamba utatusua.

Tutashinda, sisi ndo Taifa Kubwa.

Naamini kiherehere cha kwenda Airport kuwapokea Platinum sasa hivi kimewaisha.
 
Kwani yanga dhidi ya kmc haikubebwa? Penati fake mlipewa. Dhidi ya gwambina mlipigwa goli halali likakataliwa, dhidi ya simba faulo nje 18 mkapewa penati. Ni kujidanganya kuwa mechi zote yanga imeshinda au kudraw kwa haki.

Ubingwa labda muibe kombe.
Mechi ya Simba ilitakuwa kuchagua Penati au kadi nyekundu kwa Onyango.
 
Hahahaaaa!! Kikosi kilichoanza Ligi huwezi kifananisha na hiki cha sasa hata kidogo.

Nadhani umeelewa vile kwa sasa tulivyo na fyzixi + kemisitri hivyo wale ni Uwanja tu ndo umewasitiri Mtani kubali ukatae.
Siku nyingine injinia awe anawaisha bahasha mapema, mambo za kutoa bahasha mda umeenda ndo matatizo yake haya
 
Hahahaaa. Hivyo kwa uwezo wako halisi huwawezi. 😂😂😂

Haya subiri huruma toka kwao walau upate hizo points sita.
Huyu ni mkweli kabisa na ni mpenzi wa Mungu, kwani uwezo wa timu anaujua na usishangae kukiri kwake kwamba Majaliwa (Namungo) na mzee Bakhresa(Azam) hawawezi kuwabania na Ana uhakika na hizo point. Wala hiyo sisi haitusumbui kichwa, tutapambana uwanjani kuhakikisha jambo letu la msimi huu linatimia. Nyie endeleeni kutembelea mbeleko ya Majaliwa, Bakhresa, waamuzi na tfu tfu.
 
nlikuwa busy leo nkaona nipitie tetesi za usajili bongo nkaona jina la Mbombo kwenye gazeti la mwananchi, kama kweli ameridhia kuja Yanga lile ndiyo bull striker la ukweli sasa!
Ni mchezaji ambaye hata kama anataka $15,000 kama ipo apewe, yule ni asset, ni kati ya wachezaji talented sana Zambia, na scouts wanawatupia macho, ni kama yule Dube wa Azam.
 
Huyu ni mkweli kabisa na ni mpenzi wa Mungu, kwani uwezo wa timu anaujua na usishangae kukiri kwake kwamba Majaliwa (Namungo) na mzee Bakhresa(Azam) hawawezi kuwabania na Ana uhakika na hizo point. Wala hiyo sisi haitusumbui kichwa, tutapambana uwanjani kuhakikisha jambo letu la msimi huu linatimia. Nyie endeleeni kutembelea mbeleko ya Majaliwa, Bakhresa, waamuzi na tfu tfu.
Hakika Mkuu sisi wacha tuzidi kupambana Uwanjani. Naimani jambo letu litatimia.
 
nlikuwa busy leo nkaona nipitie tetesi za usajili bongo nkaona jina la Mbombo kwenye gazeti la mwananchi, kama kweli ameridhia kuja Yanga lile ndiyo bull striker la ukweli sasa!
Ni mchezaji ambaye hata kama anataka $15,000 kama ipo apewe, yule ni asset, ni kati ya wachezaji talented sana Zambia, na scouts wanawatupia macho, ni kama yule Dube wa Azam.
Huyu mkataba wake kdg Nkana wameweka ngumu ila jamaa MTU haswa
 
Back
Top Bottom