Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Na ziliachwa makusudi kuja kutoa mbeleko.
 
Huyo jamaa anatajwa sana ila sina imani kama tunaweza kumpata[emoji1] kwanza gharama tu ya kimnunua lazima iwe balaa, badosalary
 
Na iko ndo kiliwasaidia pia waishukuru Mvua mana nayo ilijua kuutotesha uwanja kwani pasi zetu nyingi hazikuwa zinafika kama tulivyotarajia.
Hapo ni mvua tu wangekaa zile zile 3, maana tunao wataalam wa viwanja vibovu.
 
Na iko ndo kiliwasaidia pia waishukuru Mvua mana nayo ilijua kuutotesha uwanja kwani pasi zetu nyingi hazikuwa zinafika kama tulivyotarajia.
Mtaishia ku sema tuu. Last season had first round inaisha Yanga haijafungwa DADADEK nini kilitokea. Mabigwa ni wale wale. Simba. Nyie yenu maneno na vjora na madela

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…