Naaambiwa Leo wananchi mna jambo lenu
Na bado huu mwaka maji mtaita mmaaa!!Rungu limeshukaView attachment 1692966
Walipeleka kesi ya MorrisonIla yanga kwenye kuzulumu wachezaji na wafanyakazi wanaongoza
Watakuambia siyo yeye ha ha haView attachment 1691901
Mlisema harudi tena baada ya kwenda kwao Ghana. Haya Kapuuteeein huyo ndani ya Kigamboni.
Pole sana naona litakuwa limekurudia!Rungu limeshukaView attachment 1692966
Yanga ndio timu kubwa na yenye mvuto kuliko timu yoyote hapa nchini, na kwa ukubwa Wa hii taasisi ikishushiwa rungu basi haipo taasisi itabaki hapa ardhini kwetu! Labda kangekuwa ka simba hako watu wanakashushia tu mirungu na hakuna atayestuka!Rungu limeshukaView attachment 1692966
Timu kubwa inaomba kwa mwalimu mkuu pa kufanyia mazoezi?Yanga ndio timu kubwa na yenye mvuto kuliko timu yoyote hapa nchini, na kwa ukubwa Wa hii taasisi ikishushiwa rungu basi haipo taasisi itabaki hapa ardhini kwetu! Labda kangekuwa ka simba hako watu wanakashushia tu mirungu na hakuna atayestuka!