Kwani kasema mumchezeshe Mashindano gani Mtani? π Tuanzie hapa kwanza mana hamkawii kumlisha maneno.Kuna viongozi wanajua kudanganya mashabiki wao FREDRICK MWAKALEBELA Ni namba 1..............Eti oooh kama hajafungiwa wamchezeshe basi tuone na Mashabiki wao walivyo na akili za Matope watakubali.
Haya sasa kacheza na Goli kafunga
Pole Nimechelewa kujibu Mtani ni kweli tulikuwa na jambo letu na lilifana kiasi.Naaambiwa Leo wananchi mna jambo lenu
Wamekuwa kimya sanaVisit kidimbwi , ile kitu imeshatolewa sasa ni kutereza tu[emoji4]
Hongera sana kwake Simba kwa kufanya usajili wa nguvu ,kikosi imara na kipana ,Simba inaweza kucheza mechi mbili kwa wakati mmoja.Msimu huu Tayari kabatini tumeweka kikombe kimoja Cha Simba Super Cup bado tunasubiri vingineUtopolo a.k.a vidimbwi fc hamna timu.
Mnatuchefua asubuh yote hii!!!... vidibwi bhana!!??Jumamosi Wananchi tuna jambo letu huko Mbeya
View attachment 1697969
Kukuchefua hiyo veepe kwenye uzi wa Yanga ningeyaleta haya kwenye uzi wenu walau ungekuwa na cha maana cha kuniquote.Mnatuchefua asubuh yote hii!!!... vidibwi bhana!!??
kwan inawaumaaa eeeeenh..!!Mnatuchefua asubuh yote hii!!!... vidibwi bhana!!??
Kichefu hefu inahusu nini hapa, Kuna m2 kakupa hiyo mimba hapa jukwaani? Hebu peleka kichefu kichefu chako huko kwa mwenye mimba yake, hebooo.Mnatuchefua asubuh yote hii!!!... vidibwi bhana!!??
Mtani hapo kengold ya mji gani?
Mtani hiyo ni timu ya Daraja la kwanza Mkoani Mbeya.Mtani hapo kengold ya mji gani?
Oooh sawaMtani hiyo ni timu ya Daraja la kwanza Mkoani Mbeya.