King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Unaeza kasirika aisee.
Japo wengine watakwambia tumpe muda , huo muda angepewa kwa kuanzia benchi.
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.
Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.
Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.
Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?
#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Mnanyanyua makwapa mkitaka dumbukia kwenye vidimbwi au?Mnapomaliza haya maneno mnakuja kushtuka watu tushanyanyua makwapa kitambo
Hawa jamaa akili zao wengi ni fyatu. Wameshinda dhidi ya Vita wanapata mawenge wanaona wanaweza kushinda kila mechi EPL.
Wanasahau kuna baba yao Yanga, kuna mdogo wao Azam ambaye kawatoa kamasi juPremier League assists since the start of 2018:
🔵 Ederson
2 assists
110 games played
🔴 Gini Wijnaldum
1 assist
111 games played https://t.co/nXes4RApVGzi kati hapo na pia wapo mpaka vilembwekeza na wanasumbua sana. Sijui wao wanajikuta nani!!
Unapaswa ujue kwamba , katika misimuu hii minne , huu ni msimu ambao simba kawa mbovu , muda huu anakuaga mbali tu , at the same time Yanga ndio msimu wake bora huu , pamoja na kua msimu wenu bora ila kinacho iweka Yanga kileleni ni idadi ya mechi tuIla vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.
Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.
Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.
Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?
#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Mnanyanyua makwapa mkitaka dumbukia kwenye vidimbwi au?
aaaaaah eti baba yanga! Baba hana hata pa kufanyia mazoezi? Baba Anaranda randa kwenye viwanja vya shule ya msingi, utopolo ni shangazi. Na kombe hampati labda mliibe.Hawa jamaa akili zao wengi ni fyatu. Wameshinda dhidi ya Vita wanapata mawenge wanaona wanaweza kushinda kila mechi EPL.
Wanasahau kuna baba yao Yanga, kuna mdogo wao Azam ambaye kawatoa kamasi juzi kati hapo na pia wapo mpaka vilembwekeza na wanasumbua sana. Sijui wao wanajikuta nani!!
Ujasiri tunautoa kwa kuwaona jinsi mnavyocheza. Mnavyo cheza hamna tofauti na timu ya daraja la kwanza. Mechi nyingi mlizoshinda ni sababu ya bahati zaidi na ndio maana kanakuwa kagoli kamoja.Huwezi kuwa bingwa kwa kutegemea bahati zaidi. Kwa hiyo Utopolo hamuwezi kuwa bingwa kwa uchezaji wa kidaraja la kwanza.Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.
Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.
Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.
Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?
#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Kwa staili yako ya uchezaji unaweza usifungwe lakini una droo nyingi mbele yako afadhali ufungwe mechi moja ushinde5 kuliko kudroo mechi tatu au nne ni hatari naziona droo mbili mbele yako dhidi ya kagera na mtibwaIla vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.
Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.
Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.
Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?
#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
😅😅😅 Mnakera bana. TehSasa ndiyo uongee kwa hasira? Haki ya Mungu mwaka huu Maji utaita mma.
Umejua kunichekesha. Khaaaa.Mnanyanyua makwapa mkitaka dumbukia kwenye vidimbwi au?
Oooh!! Kumbe.Unapaswa ujue kwamba , katika misimuu hii minne , huu ni msimu ambao simba kawa mbovu , muda huu anakuaga mbali tu , at the same time Yanga ndio msimu wake bora huu , pamoja na kua msimu wenu bora ila kinacho iweka Yanga kileleni ni idadi ya mechi tu
Sisi tunaamn ubingwa n wetu kwasababu tunajua muda wowote tunarud kwenye ubora wetu , kitu ambacho hata mcheze uchi hamuwez kutusogelea , nyinyi mnatumia juhudi na sio uwezo , wakati sisi ni uwezo
Simba anaweza teleza akarud akakukamata , vipi wewe ukiteleza ? Unaweza rud kumkamata simba ?? As it sand ubingwa uko kwa simba , mpaka yatokee mabadiliko mengine
Ooh!! Basi hii bahati tutaendelea nayo mpaka tunakuwa mabingwa Mkuu.Ujasiri tunautoa kwa kuwaona jinsi mnavyocheza. Mnavyo cheza hamna tofauti na timu ya daraja la kwanza. Mechi nyingi mlizoshinda ni sababu ya bahati zaidi na ndio maana kanakuwa kagoli kamoja.Huwezi kuwa bingwa kwa kutegemea bahati zaidi. Kwa hiyo Utopolo hamuwezi kuwa bingwa kwa uchezaji wa kidaraja la kwanza.
Tatizo Watani mnajua sana kutusemea. Lol.Kwa staili yako ya uchezaji unaweza usifungwe lakini una droo nyingi mbele yako afadhali ufungwe mechi moja ushinde5 kuliko kudroo mechi tatu au nne ni hatari naziona droo mbili mbele yako dhidi ya kagera na mtibwa
Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.Ooh!! Basi hii bahati tutaendelea nayo mpaka tunakuwa mabingwa Mkuu.
Hizi kauli za kukatishana tamaa kwangu hazina nafasi Mkuu.Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.
Hatukatai hatuna washambuliaji wa mana ila sio mwanzo wa kujiweka chini wakati mpaka sasa hamna point umenizidi.Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.
Sawa ngoja tusubiri.Hatukatai hatuna washambuliaji wa mana ila sio mwanzo wa kujiweka chini wakati mpaka sasa hamna point umenizidi.
Ewaaa!! Ikifikia tumekosa tutakubali ila kwa sasa acheni tutambiane no matter kikosi chetu kina madhaifu kiasi gani.Sawa ngoja tusubiri.
Mechi ambayo ingeamua ubingwa imepekwa mwez wa tano , hatujawah kua na jambo letu tukafeli hata Mara moja , yani hata Mara moja ,na haitotokea kamweOooh!! Kumbe.
Mwisho wa siku hizi kauli hatutazisikia kamwe.