Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Unaeza kasirika aisee.

Japo wengine watakwambia tumpe muda , huo muda angepewa kwa kuanzia benchi.

Kwahiyo mulipokuwa munasema hakabiki mulidhani mulikuwa munamdanganya nani?

2691196_download.jpeg
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.

Sasa ndiyo uongee kwa hasira? Haki ya Mungu mwaka huu Maji utaita mma.
 
Hawa jamaa akili zao wengi ni fyatu. Wameshinda dhidi ya Vita wanapata mawenge wanaona wanaweza kushinda kila mechi EPL.

Wanasahau kuna baba yao Yanga, kuna mdogo wao Azam ambaye kawatoa kamasi juPremier League assists since the start of 2018:

🔵 Ederson
2 assists
110 games played

🔴 Gini Wijnaldum
1 assist
111 games played https://t.co/nXes4RApVGzi kati hapo na pia wapo mpaka vilembwekeza na wanasumbua sana. Sijui wao wanajikuta nani!!

Kauli za Utopolo:

1) Simba hawana akili
2) Simba wajinga
3) Simba mbumbumbu
4) Simba hawajielewi
5) Simba hamna kitu ni maneno tu
6) Simba wabovu
7) Simba wanasajili kwa kukurupuka
8) ....... Na blah blah nyingiiiiiiii...

Jambo la kushangaza:
- Utopolo wanaojiona wanaakili wanashindwa kuwa wabunifu hata kwa Vitu vidogo wanaishia kuwaiga Simba! Eti wameanzisha "SIKU YA WANANCHI" kuna Uto mmoja eti anasema ya kwenu ni "Simba Day" wakati ya Uto ni "Siku ya Wananchi" alaaaaa! Hivi anajua kuwa 'Simba Day' kwa kiswahili ni "Siku ya Simba"? Then mukakopi kutoka "Siku ya Simba" mpaka "Siku ya Wananchi".

Hii Timu ina Watu wanajiona wana akili lakini cha ajabu kila siku wanarudi nyuma wakati Simba tunakwenda mbele.
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Unapaswa ujue kwamba , katika misimuu hii minne , huu ni msimu ambao simba kawa mbovu , muda huu anakuaga mbali tu , at the same time Yanga ndio msimu wake bora huu , pamoja na kua msimu wenu bora ila kinacho iweka Yanga kileleni ni idadi ya mechi tu

Sisi tunaamn ubingwa n wetu kwasababu tunajua muda wowote tunarud kwenye ubora wetu , kitu ambacho hata mcheze uchi hamuwez kutusogelea , nyinyi mnatumia juhudi na sio uwezo , wakati sisi ni uwezo

Simba anaweza teleza akarud akakukamata , vipi wewe ukiteleza ? Unaweza rud kumkamata simba ?? As it sand ubingwa uko kwa simba , mpaka yatokee mabadiliko mengine
 
Hawa jamaa akili zao wengi ni fyatu. Wameshinda dhidi ya Vita wanapata mawenge wanaona wanaweza kushinda kila mechi EPL.

Wanasahau kuna baba yao Yanga, kuna mdogo wao Azam ambaye kawatoa kamasi juzi kati hapo na pia wapo mpaka vilembwekeza na wanasumbua sana. Sijui wao wanajikuta nani!!
aaaaaah eti baba yanga! Baba hana hata pa kufanyia mazoezi? Baba Anaranda randa kwenye viwanja vya shule ya msingi, utopolo ni shangazi. Na kombe hampati labda mliibe.
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Ujasiri tunautoa kwa kuwaona jinsi mnavyocheza. Mnavyo cheza hamna tofauti na timu ya daraja la kwanza. Mechi nyingi mlizoshinda ni sababu ya bahati zaidi na ndio maana kanakuwa kagoli kamoja.Huwezi kuwa bingwa kwa kutegemea bahati zaidi. Kwa hiyo Utopolo hamuwezi kuwa bingwa kwa uchezaji wa kidaraja la kwanza.
 
Ila vitu vingine vinashangaza Mikia mnang'ang'ania Yanga hawezi kuwa bingwa mpaka sasa mumempita Points ngapi kwa huo ubora wenu mulio nao.

Mana kama mngekuwa bora mlipaswa mtuache mbali sana, sasa ikiwa mpaka viporo vyenu mlivyo navyo mufanikiwe kuvila ndio tunakuwa points sawa, sasa huu ujasiri wa kwamba Yanga haezi kuwa bingwa mnautoa wapi.

Haya maneno wanapaswa ziongee zile timu ambazo unakuta ziko mechi sawa na wenzake lakini anaongoza points hata 10 au zaidi na ligi ndo inaelekea ukingoni sasa wewe uko points sawa na yule mwenye kikosi kibovu halafu unasema hastahili kuwa bingwa niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. Lol.

Mkisema Yanga atapoteza sijui atapata sare nyie hamuwezi kupoteza na kupata sare?

#Amkeni usingizini acheni kupumbazwa na kauli za yule Roporopo wenu.
Kwa staili yako ya uchezaji unaweza usifungwe lakini una droo nyingi mbele yako afadhali ufungwe mechi moja ushinde5 kuliko kudroo mechi tatu au nne ni hatari naziona droo mbili mbele yako dhidi ya kagera na mtibwa
 
Unapaswa ujue kwamba , katika misimuu hii minne , huu ni msimu ambao simba kawa mbovu , muda huu anakuaga mbali tu , at the same time Yanga ndio msimu wake bora huu , pamoja na kua msimu wenu bora ila kinacho iweka Yanga kileleni ni idadi ya mechi tu

Sisi tunaamn ubingwa n wetu kwasababu tunajua muda wowote tunarud kwenye ubora wetu , kitu ambacho hata mcheze uchi hamuwez kutusogelea , nyinyi mnatumia juhudi na sio uwezo , wakati sisi ni uwezo

Simba anaweza teleza akarud akakukamata , vipi wewe ukiteleza ? Unaweza rud kumkamata simba ?? As it sand ubingwa uko kwa simba , mpaka yatokee mabadiliko mengine
Oooh!! Kumbe.

Mwisho wa siku hizi kauli hatutazisikia kamwe.
 
Ujasiri tunautoa kwa kuwaona jinsi mnavyocheza. Mnavyo cheza hamna tofauti na timu ya daraja la kwanza. Mechi nyingi mlizoshinda ni sababu ya bahati zaidi na ndio maana kanakuwa kagoli kamoja.Huwezi kuwa bingwa kwa kutegemea bahati zaidi. Kwa hiyo Utopolo hamuwezi kuwa bingwa kwa uchezaji wa kidaraja la kwanza.
Ooh!! Basi hii bahati tutaendelea nayo mpaka tunakuwa mabingwa Mkuu.
 
Kwa staili yako ya uchezaji unaweza usifungwe lakini una droo nyingi mbele yako afadhali ufungwe mechi moja ushinde5 kuliko kudroo mechi tatu au nne ni hatari naziona droo mbili mbele yako dhidi ya kagera na mtibwa
Tatizo Watani mnajua sana kutusemea. Lol.

We jidanganye tu hamna droo hapo na ndio sababu hata Mtibwa alivyokukalisha Moro, siku tunacheza naye basi mlijua tutafanana mwisho wa siku tukamfunga palepale alipokuliza. Hivyo hao Kagera na Mtibwa naimani tunatoboa hizo mechi.
 
Ooh!! Basi hii bahati tutaendelea nayo mpaka tunakuwa mabingwa Mkuu.
Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.
 
Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.
Hizi kauli za kukatishana tamaa kwangu hazina nafasi Mkuu.

Mwisho wa msimu ndo naeza zikubali ila kwa sasa hapana aisee.
 
Ukiangalia kwa makini bahati inazidi kuwakimbia ndio maana tunasema ubingwa msahau maana kwenye ujuzi hamuimariki. Sarpong ni yule yule wa juzi na huyu mpya mpaka akae sawa ligi imeisha simba bingwa.
Hatukatai hatuna washambuliaji wa mana ila sio mwanzo wa kujiweka chini wakati mpaka sasa hamna point umenizidi.
 
Oooh!! Kumbe.

Mwisho wa siku hizi kauli hatutazisikia kamwe.
Mechi ambayo ingeamua ubingwa imepekwa mwez wa tano , hatujawah kua na jambo letu tukafeli hata Mara moja , yani hata Mara moja ,na haitotokea kamwe

Mechi mbili za simba za mwsho ambazo zilikua ni mechi maalumu

Moja tukaipa jina "TUNA JAMBO LETU"
Nyingine tukaipa jina "WAR IN DAR"

Mechi zote mbili tumeshinda kwa jumla ya aggregate ya goli 8-1
Yanga kala 4, Platinumz kala 4

Shinda Mechi zako zote zilo salia kabla ya may 8

Nami nishinde zote kabla ya may 8 (nafahamu by that time nitakua kilelen either kwa tofaut ya magoli au kwa points , tukutane mechi ya kuamua bingwa
 
Back
Top Bottom