Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Duuh! Kwani katika press ya Mwakalebela ameongelea waamuzi upande wa hizi bao tatu Mkuu?

Ukipata chance msikilize vizuri hebu.
 
Haya maelekezo mnayowapa waamuzi mkisaidiana na tff yenu kuna siku mtasababisha maafa!

Haya maneno ya Maafa kila siku munayasema na kuyaimba, Vaeni Vijora tu sasa mutuimbie maafa.

Timu lenu bovu. Fullstop
 
Poleni Mtani.

Japo tu yule mnayemuona hamnazo kwa kiwango chake cha ufikiri ameona alichokiongea ni sahihi kama nyie mlivyokujaga na mascreen kuonyesha namna mnaonewa na waamuzi miaka hiyo.

Au mmesahau?
Na maamuzi ya waamuzi yakiwanufaisha muwe mnasema pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…