samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Kwa hiyo mikia huwa inakaa wapi vile kwenye mnyama
Kumbe Wewe ni mwanalizombe mwenzangu
Haioneshwi mkuu.......Habari wana JANGWANI fc,je game yetu leo uko zimbabwe inaoneshwa ktk tv?
Mwenye kujua atujuze
Haioneshwi mkuu.......
Tusubir tuone kama kweli manake tunaisubiria sana hii game, ila si nasikia wale jamaa wa platinum waligoma kuonyesha hii game?Game itaonyeshwa na Azam two,kuanzia saa kumi kamili jioni.Hiyo ni kwa mujibu ya ratiba ya Azam two tv.
cute b tabia gan hyo