Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Hamjaaaambo
Ndugu zangu hamjambooo????
Ndugu zangu hamjambooo????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ss hapo we unavyoona kombe kubwa lipi? Kule England Man utd ndiyo team kubwa kuliko zote kutokana na kuchukua ligi mara nyingi.
Kwahiyo leo hamjafungwa na Coastal nyie vidimbwi?Ss hapo we unavyoona kombe kubwa lipi? Kule England Man utd ndiyo team kubwa kuliko zote kutokana na kuchukua ligi mara nyingi.
Yanga dirisha dogo watafute namba 8, Fei hana consistency, kama leo alishindwa kabisa kuichezesha timu, anabutuabutua, hili pira la leo la yanga nusu nipasue TV.Nliyokuwa nalalamika kama Mwananchi leo nadhan mmeyaona, timu haiko organized, haipigi hata pasi 4, wachezaji hawajiamn hata ball control shida! Sappong ni mzuri kuliko Fiston, ila anakosa mtu sahihi mwenye creativity aina kama Chama, Fiston uchezaji wake ni aina ya kina Yacouba, sikuona umuhim wa kumsajili.
Mwisho tukubali hii Yanga haiwezi kuchukua ubingwa. timu ni mbovu na mechi ijayo kwa polisi tutaumia zaid.
Sunday manara alisema kinachoitofautisha yanga na ken gold ni jina tuUnaangalia mpira huoni utofauti kati ya COASTAL v/s YANGA huwezi kuamini timu inayooongoza ligi hata kupiga pass 5 kwa usahihi timu haiwezi muda wote timu ni kubutua tua tu mipira.
itakuua kweli waonee huruma unaowaacha😂😂😂 Acha iniuue Mtani. 💃
Tena mabingwa unbeatenKwa sababu mmekimbia nyuzi zenu kule nimeamua kuwafata kwenye page yenu niwacheke vizuri mlivyokuwa mnaota mtakuwa mabingwa wa magazetinii
Leo wakati naangalia mpira niliwambia watu kuhusu Fei. Dogo kwanza kacheza match nyingi sana bila kupumzika. Halafu kwangu mie siye mchezaji ambaye anaanzisha na kusupport mashambulizi. Yeye akitoa pass imeisha hiyo. Lakini ndio furaha kwa MnyamaYanga dirisha dogo watafute namba 8, Fei hana consistency, kama leo alishindwa kabisa kuichezesha timu, anabutuabutua, hili pira la leo la yanga nusu nipasue TV.
Shauri yako,Itakuua kweli.😂😂😂 Acha iniuue Mtani. 💃
Kabla ya kuitwa ligi kuu ilikua ikitwaje ?? Simba anaongoza mzee babaSs hapo we unavyoona kombe kubwa lipi? Kule England Man utd ndiyo team kubwa kuliko zote kutokana na kuchukua ligi mara nyingi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii TIMU YETU TUNAIPENDA LAKINI INATIA HASIRA SANA ..BORA NIAMIE MAJI MAJI AU MANYEMA FC KULIKO HUU UTOPOLO..
MIKIA FC WANAZIDI KUCHANJA MBUGA.
#DAIMAMBELEMWIKONYUMA.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huo mwiko haukuchubui mkuu? 😂😂😂Hii TIMU YETU TUNAIPENDA LAKINI INATIA HASIRA SANA ..BORA NIAMIE MAJI MAJI AU MANYEMA FC KULIKO HUU UTOPOLO..
MIKIA FC WANAZIDI KUCHANJA MBUGA.
#DAIMAMBELEMWIKONYUMA.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app