Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tuiunge mkono timu yetu hadi mwisho,mana bado tuna mlima mrefu ktk kuhakikisha tunamaliza nafasi mbili za juu. Baada ya ligi kisha tutafanya tathimini kwa ujumla na kushusha lawama zetu pale inapobidi na kushauri pia!
 
Hivi huyu DITRAM nyinyi mnamwelewa leo??? Alafu michezaji inaonyesha kuridhika na hako kagoli kamoja wakat mashabiki tunahitaji goli nyingi. Yan msimu huu yanga haijafunga timu goli 4+ sijui nini mweee[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hivi huyu DITRAM nyinyi mnamwelewa leo??? Alafu michezaji inaonyesha kuridhika na hako kagoli kamoja wakat mashabiki tunahitaji goli nyingi. Yan msimu huu yanga haijafunga timu goli 4+ sijui nini mweee[emoji41][emoji41][emoji41]
Kwani huyo Mwadui raundi ya kwanza alifungwa ngapi
 
Hivi huyu DITRAM nyinyi mnamwelewa leo??? Alafu michezaji inaonyesha kuridhika na hako kagoli kamoja wakat mashabiki tunahitaji goli nyingi. Yan msimu huu yanga haijafunga timu goli 4+ sijui nini mweee[emoji41][emoji41][emoji41]
Anko hapa ni lazima umepitiwa. 😀

Huyo Mwadui mechi ya Ligi kuu round ya kwanza tumemfunga bao 5.
 
Azam Media Limited imeshinda zabuni ya haki za matangazo ya urushaji wa mechi za Ligi Kuu Tanzania bara wenye thamani ya shilingi Bilioni 225.6.

Kiasi hicho ni kikubwa kuwahi kutolewa kwa udhamini wa michezo nchini Tanzania na hata nchi jirani za Afrika Mashariki na Kati.

Kwa mujibu wa mkataba wa miaka 10 uliosainiwa jana jijini Dar Es Salaam, asilimia 67 ya pesa hizo itakwenda moja kwa moja kwa timu ambazo zinashiriki ligi hiyo.

Azam TV pia itakuwa ikitoa zawadi (bonus) kwa Bingwa wa Ligi Kuu Tsh milioni 500, timu zinazofuata katika msimamo mpaka nafasi ya 16 zitakuwa zikinufaika pia.

Serikali itanufaika kwa kupata shilingi bilioni 34.4 zikiwa ni ni kodi ya ongezeko la thamani VAT.

 
Hivi huyu DITRAM nyinyi mnamwelewa leo??? Alafu michezaji inaonyesha kuridhika na hako kagoli kamoja wakat mashabiki tunahitaji goli nyingi. Yan msimu huu yanga haijafunga timu goli 4+ sijui nini mweee[emoji41][emoji41][emoji41]
Tuliwahi mpiga mwadui 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…