ππ Musije singizia uchawi tu mana huwa hamchelewi.Kumbe hakuna mechi nyingine katikati hapo? Tunachukua ubingwa kwenu
Unapigwa na ubingwa unatangazwa hapo hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtajuta kwann mlikimbia
Mtani kwani unat e s e k a? π
Afadhali japo ila naye apunguze kufanywa chambo mana ukiangalia zile press zisizo na kichwa wala miguu ndo wanamwachia yeye.
Nakazia.Huwa nawaambia Yanga ni kubwa kuliko taasisi yoyote ya Michezo hapa nchini watu hawataki!. Ila na yeye aache kutoa maboko mana kuna kipindi unaweza usione hata umuhimu wake kkabuni kwa mambo anayofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo unataka kusemaje eti?Wanajeshi wa mpakani
Sijajua kwa Wiki ijayo mana hizi game za FA zinachezwa leo na kesho.Kumbe hakuna mechi nyingine katikati hapo? Tunachukua ubingwa kwenu
Unapigwa na ubingwa unatangazwa hapo hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtajuta kwann mlikimbia
π€£π€£π€£π€£Sijuhi Ila yanga ni ushindi tu[emoji172][emoji172][emoji123][emoji172]
Nikweli kabisaAfadhali japo ila naye apunguze kufanywa chambo mana ukiangalia zile press zisizo na kichwa wala miguu ndo wanamwachia yeye.
Vp umesafiri Mkuu kuifuata Biashara?Nikweli kabisa